Asanteni kwa mawazo yenu

dada yangu unluky, pole sana na pia washukuru sana wale wote waliochangia mjadala huu. nikwambie ukweli, kama baadhi yao walivyosema, wewe pia umechangia kwa namna moja ama nyingine tabia ya mumeo. Ukitaka kujua zaidi, nakushauri tafuta kitabu kimoja kinaitwa NDOA YANGU, NINGEJUA kitakupa majibu yote na nini ufanye mumeo atulie na kukupenda ikiwa ni pamja na kukupa huduma zote za mke
 
we unlucky ni kiazi tn ni zaid ya kiazi huna akili ht tone yn ungekua karb yngu ningekuchapa makofi racharacha ss km c upumbavu ni nini? na umri huo na watoto 3 hujui uzazi wa mpango?, hujiwekei akiba?, hujui na huwez kutetea haki zk?, hushauriki,unakazana nampenda mumewangu nampenda mume wangu yn ww ni mbumbumbu endelea kumpenda na upumbavu wako utaja kukufanya uishie kunywa sumu pu@*$*vu wewe
 
hapo penye kuunda tume nimepapenda, nadhani ndilo lililobaki sasa, manake kishashauriwa sana na hataki kuchukua hatua yoyote, yeye kila kukicha anakuja kulialia hapa JF! kama ni huruma tumeishamhurumia na kama ni ushauri, tumeishamshauri mengi sana, imebaki kwake kuchukua hatua!<br /> <br /> ubarikiwe mpendwa
<br /> <br / akishaharibikiwa vizuri ndio atachukua hatua.
 
dada Nsiande naona umecharuka!<br />
<br />
nami naungana na wewe hapo kwenye bold (pamoja na yote niliyomuasa) &quot;afunguke&quot; na Mungu atamsaidia.<br />
<br />
ubarikiwe sana dada
<br />
<br />
Miss J za siku ??

Nilikuwa busy sana lately ila nimemiss michango yako sana unaendeleaje ?
 
Haya maswala ya ndoa yanakoroga sana kama mtu hajui nini afanye ila ndhani kwa sasa badala ya kumshambulia huyu dada au kumpa njia mbadala ya kuachana na mume wake wakati yeye binafsi ameomba msaada wa kutafuta jinsi kuiponya ndoa yake na mume wake abadilike NDIYO USHAURI ANAOUTAKA NA TUKIREJEA KWENYE VITABU VYA DINI VINASEMA ALICHOKIUNGANISHA MUNGU MWANADAMU ASITENGANISHE Na Mungu anachukia kuachana nadhani huyu dada ana mapenzi ya kweli na mume wake na ndiyo maana aliokuja kuomba ushauri vingivyo hii option ambayo wengi tunampa humu jamvini ingefanya kazi zamani sana na asingehitaji ushauri wetu ila amekuja humu kutafuta jawabu na siyo kuvunja ndoa yake kama ni kuvunja mbona watu wamevunja ndoa hata kwa kutofautiana kauli tu na siyo kwa kupigwa vibao na wengine wamedumu ndoani huku wakilazwa sebuleni na jikoni na mwanaume anapitiliza chumbani na changudoa.
 
Mdada eee!! Embu amka usingizini angalia mbele. Utakufa siku si zako. Zama za doa ya mateso unakaa unasononeka na kunyanyaswa kwa gia ya kulinada ahadi ya ndoa zimepitwa na wakati. Jali maisha yako, maisha ni mafupi sana. If it is not working just work out from that abusive marriage. I can see it gettng out of hand!! Ni mtazamo wangu tu
 
hapo penye kuunda tume nimepapenda, nadhani ndilo lililobaki sasa, manake kishashauriwa sana na hataki kuchukua hatua yoyote, yeye kila kukicha anakuja kulialia hapa JF! kama ni huruma tumeishamhurumia na kama ni ushauri, tumeishamshauri mengi sana, imebaki kwake kuchukua hatua!<br /> <br /> ubarikiwe mpendwa
<br /> <br / huyu hawez kuchukua hatua yyt mpaka atolewe roho.
 
asanteni ndugu zangu wapendwa siku nikichukua hatua lazimanitakujulisheni kwa kweli na mimi nimechoka sana kwa maisha haya asanteni idi njema wapenzi
 
Ungekuwa mkristu ningekushauri uvumilie maana dini hairuhusu. Lakini kama wewe unavaa kininja kama ulivyosema maanake ni muislamu. Kwa nini usiondoke mdada. Nadhani unahitaji ushauri nasaha; utaendeleaje kusema unampenda huyu mwanaume hasiyestahili kupendwa? Hivi wewe unampenda huyo mzinzi kuliko watoto wako watatu?? Huoni kama kuna ubinafsi hapo? Nasema hivyo kwa kuwa naangalia dunia ilivyochafuka kwa magonjwa. Mtu analala nje atakavyo afu wewe umekazana nampeda sana mume wangu. Sikuelewi kabisa. Navyojua wanawake wengi kwetu watoto ni kitu muhimu kuliko kitu chochote duniani; sasa wewe kwa mapenzi yako kwa huyo mzinzi umekubali kuwaacha watoto wako yatima ili uendelee kupata mgao wako wa mara moja kwa miezi miwili. Tafakari dada, na uchukue hatua.
 
Miss J za siku ??

Nilikuwa busy sana lately ila nimemiss michango yako sana unaendeleaje ?

my dear Nsiande,

pole sana na kazi hasa nikizingatia kuwa sekta yenu ya umeme imekuwa na kizungumkuti kila uchao na kwa kweli sishangai kuona umeadimika sana jukwaani. mi sijambo na naendelea vizuri licha ya majukumu kuongezeka kila siku

Mungu akubariki na azidi kukutia nguvu akikupandisha kutoka utukufu mmoja hadi utukufu mwingine

Jina la Bwana lihimidiwe
 
Back
Top Bottom