unlucky
Senior Member
- Aug 9, 2011
- 199
- 56
Niliongea kuhusu mume kwenda nje kila mtu kachangia wazo but let me tell u truth guys mie siendi nje nai heshimu sana ndoa yangu na mume nampenda sana na nimezaa nae watoto 3, na mda ninao kwa ajili yake.
Sifanyi job niko ndani tu but mwanaume huyu hanithamini mpaka nikiwa na mimba ananipiga kipigo kikali na hashindi ndani kuanzia asubuhi anatoka mpaka alfajiri anarudi pia nimekaa kimya msg simu za wanawake pia naona but still niko kimya no sex btn us mpaka miezi inapita hata 2 na hata akikutana kimwili basi dakika 2 tu hivi kweli hii sahihi.
Kwa kweli mie nitasema kitu kimoja mume ndo anamfanyisha mke aende nje afanye hilo kosa coz mume hampi love,care,happiness kila kitu sio pesa jamani mapenzi....
Sifanyi job niko ndani tu but mwanaume huyu hanithamini mpaka nikiwa na mimba ananipiga kipigo kikali na hashindi ndani kuanzia asubuhi anatoka mpaka alfajiri anarudi pia nimekaa kimya msg simu za wanawake pia naona but still niko kimya no sex btn us mpaka miezi inapita hata 2 na hata akikutana kimwili basi dakika 2 tu hivi kweli hii sahihi.
Kwa kweli mie nitasema kitu kimoja mume ndo anamfanyisha mke aende nje afanye hilo kosa coz mume hampi love,care,happiness kila kitu sio pesa jamani mapenzi....