Karib sana na mimi hapa ndio editor mkuu wa hili jukwaa. Majukumu yangu ni pamoja na kusahihisha spelling, kucensor matusi, kuwalinda kinadada wasikuwe abused, kuondosha pumba kwenye sredi, n.k n.k
Nimeowa hapa hapa JF, waifu anaitwa Lizzy.
Karib sana, jiskie upo bangladesh
Asante sana kwa hongera. Na karib tena. Wakikukera sana kunako PM nishtue niwashuhulikie.Hehehe,asante sana ila jina lako chungu sanaaaaa.Kumbe Lizzy mkeo?hongera sana.
Me sio mzungu plato ila nilitaka kuweka picha nikaambiwa
hatuweki picha halisi humu
karibu jamvini jisikie uko London white house.
Heheh! Sio kwa bibi shimo la udongo? Lol
Jamani humu kuna miujiza eh?kuna topic ilikuwa tam kweli mara haionekani jamani
Aah kipipi mgeni anakaribishwa state house kwanza akizoea ndipo utampeleka shimo la udongo
Haya bana....nitaomba kuambatana nae kwa hizo siku zote atakapokuwa state house!!
Hapo tumekujenga lakini hatukuweka siment nyingi so kuwa mwangalifu
Gharama itaongezeka kibongo tunanunua soda moja ya mgen sasa wewe utakubali kumtazama kama upo willing karibu
Habari zenu.
Jamaa yangu hapa amekua akinishawishi sana kujiunga nanyi lakini sikua nakaa sana humu nikiingia.
Lakini toka mwishoni mwa mwaka jana nimekua nikifuatilia topic zenu humu zime nijenga sana
na zimeimarisha sana mahusiano yangu.
Last week nilivo shauriwa kujiunga niliahidi kufanya hivyo,naona kama nime chelewa
sana kujiunga.
Shukrani zangu za dhati sana kwa michango ya kujenga ziende
kwa Lizzy,AshaDii,mwanakijiji...........ohhh wengine majina yamenitoka
ila kazi mnayo ifanya ni kubwa sana.
M'balikiwe sana.