Bluray
JF-Expert Member
- Mar 25, 2008
- 3,449
- 127
Wakuu
Hivi Tanzania hakimu kama amekosea katika kuamua haki hafukuzwi kazi kwa sababu tuna shida ya mahakimu basi anahamishwa tu au?
Mwalimu,
Si ndiyo hapo sasa, mimi nimejaribu kueleza jinsi kanuni hii ilivyopinda.
Tumewafanya Tandahimba ndiyo ma "Gulag Archipelago" yetu ama?