Pawaga
JF-Expert Member
- Feb 14, 2011
- 1,330
- 966
Habari wakuu?
Jamani mimi ni graduate niliyeamua kujiajiri kwa kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku wa kienyeji kwa mfumo wa NUSU HURIA, Wazo hili nimelipata humu humu na baada ya kusoma nikaamua kuliweka ktk utekelezaji.
Tayari nimeshajenga fensi ya senyenge ukubwa wa nusu ekali na mabanda ndani yake na kesho natarajia kuweka kuku 25 yan tetea 20 na jogoo 5 kama kianzio.
Huu mradi nauanza kama wa majaribio tu kwa kipind cha mwaka 1 ya mpaka Nov, 2013.
Niwashukuru sana kwa kusaidiana lakin bado nahitaj msaada wenu wa kujua DAWA muhim za kuwa nazo eneo la mradi kwa kuwa eneo hilo lipo mbali na mji hvyo siwez kuwa naenda mara kwa mara mjini kuchukua dawa...
Nawashukuru sana
Jamani mimi ni graduate niliyeamua kujiajiri kwa kuanzisha mradi wa ufugaji wa kuku wa kienyeji kwa mfumo wa NUSU HURIA, Wazo hili nimelipata humu humu na baada ya kusoma nikaamua kuliweka ktk utekelezaji.
Tayari nimeshajenga fensi ya senyenge ukubwa wa nusu ekali na mabanda ndani yake na kesho natarajia kuweka kuku 25 yan tetea 20 na jogoo 5 kama kianzio.
Huu mradi nauanza kama wa majaribio tu kwa kipind cha mwaka 1 ya mpaka Nov, 2013.
Niwashukuru sana kwa kusaidiana lakin bado nahitaj msaada wenu wa kujua DAWA muhim za kuwa nazo eneo la mradi kwa kuwa eneo hilo lipo mbali na mji hvyo siwez kuwa naenda mara kwa mara mjini kuchukua dawa...
Nawashukuru sana