Roulette najitahidi sana aise
Si unajua wengine tulisoma kw ataa za chemli hivyo busara ziliishia huko huko
Hapa najitahidi mpaka nafikia uwezo wa mwisho
Nikizidisha hapo nitakuwa kichaa sasa
BADILI TABIA huyo mke mwenzako Yummy akija kwangu anajifanya msamaria over nani sijui ila akitoa tuu pua nje ya mlango anageuka mwewe
Na wala hapo hana ndoa anaiba tuu kwa babu Asprin ila nikimkamata atajua ukoo wangu ni upi
Hahahahaaaa BADILI TABIA sema tu hapa ndio nishazisomba na hakuna rushwa wala nini!
Mi ndio mwenye busara zaidi ChitChat lol
..ebwana eeh..nani sasa kamchoka mwenzake..mimi au yeye@Preta?...eti Erickb52..fafanua hii..plz