Asante Sana Roullete

Erickb52

JF-Expert Member
Oct 31, 2010
18,539
11,442
Roulette naomba nikupe shukrani zangu nyingi kwa kuiona POST YANGU kuwa ndiyo yenye uzito na kukufurahisha kama ulivyoahidi hadi kutoa Like yako ambayo imenimwagia Rep Power za kutosha.....!
Thanks sana Madame!
Pia naomba kutoa salamu zangu kwa wanachitChat wenzangu wooooote kwa kunikumbuka sana nami pia nawakumbuka na tuko pamoja daima!
Special Greetings kwa Amyner (Love you bby) ummu kulthum Bishanga BADILI TABIA najua ulikuwa umenimiss sana love Remmy Miss you sana
Asprin na Kaizer Judgement Rejao Mtambuzi (Nawamiss kaka zangu) cacico Cantalisia Erotica Zinduna Mwali Catherine YNNAH gfsonwin Madame B The secretary sweetlady beibe nasty King'asti afrodenzi Kongosho Yummy Miss you ladies
Pia Best zangu Mr Rocky Nicas Mtei Smiling Saint (Miss you kijana wangu) Ruhazwe JR Katavi mtu chake PakaJimmy BAGAH TANMO Arushaone Boflo @ hope mambo yenu yako poa...... Preta sijakusahau jamani..Miss you jirani yangu(Tukutane Babylon badae)!
Na wooote ambao sijawataja nawakumbuka sana na tuko pamoja!
Mwisho shukrani tena kwa Roulette ...Big Up sana!
Mfungo mwema!
 
Happy to see you again! Welcome back my love!
Nilikuwa mwaminifu nakusubiri wangu wa Moyo.
 
Asante sana Mr Rocky
Vipi mkeo Yummy hajambo?
Mimba yake inaendeleaje?
Alishaachana na Asprin ?
Erickb52 asante sana mkuu
Bado anaiba aise
ila sijamkamata nasikia fununu tuu ila namvizia nikimpata talaka yake anayo na za ukoo wake wote
Ila nimemuona mkeo BADILI TABIA akiwa na Asprin leo wanaenda kula kwenye lile genge la mama lishe pale mtaani Preta ukiona hivyo ujue umesghaachwa pamoja na kujitahidi kutoa ofa za nyama choma na bia
 
Last edited by a moderator:
Erickb52 asante sana mkuu
Bado anaiba aise
ila sijamkamata nasikia fununu tuu ila namvizia nikimpata talaka yake anayo na za ukoo wake wote
Ila nimemuona mkeo BADILI TABIA akiwa na Asprin leo wanaenda kula kwenye lile genge la mama lishe pale mtaani Preta ukiona hivyo ujue umesghaachwa pamoja na kujitahidi kutoa ofa za nyama choma na bia
Hahahahaaaaaaa Preta bado yuko juu sana kama huamini muulize KakaKiiza anajua au Tanmo coz ukimuuliza mtu chake hatajua (Ameshamchoka)
Dawa ya Asprin hujaijua bado?
 
Last edited by a moderator:
erick52 Preta kasema chawote sijui kama ni kweli, basi kwa kukusaidia Blaki Womani kamwambia nitonye kuwa umemsahau au akina Boflo wamekuchanga na like zao!!!!!

Jambo moja la maana uliliofanya ni kumtakia Roulette mfungo mwema ni dalili ya ku book kadi ya Iddy lol.

Kwa ujumla nawatakia wote wana JF Iddy njema ambayo inajongea kwa kasi.
 
Last edited by a moderator:
erick52 Preta kasema chawote sijui kama ni kweli, basi kwa kukusaidia Blaki Womani kamwambia nitonye kuwa umemsahau au akina Boflo wamekuchanga na like zao!!!!!

Jambo moja la maana uliliofanya ni kumtakia Roulette mfungo mwema ni dalili ya ku book kadi ya Iddy lol.

Kwa ujumla nawatakia wote wana JF Iddy njema ambayo inajongea kwa kasi.
Hahahaaaa Mzee wa Rula we hujajua wivu wa Preta kuniona natesa na watoto wa Dar?
Lol mwache tu kwa kuwa namuheshimu sana mtu chake otherwise ningeshama nyumba nkakae kwa Preta
Halafu akina Boflo na dada zake akina cacico ni watu wangu wa karibu so hawana majungu sana
 
Last edited by a moderator:
hivi aja kuruhusu tu? Kweli kuna wanawake wanajua kuteka yan hata mtu hapati pumzi! Nomaa welcome back Erick
ruttashobolwa kamanda wangu naamini hujambo kabisa....!
Naomba nikupe jukumu moja kubwa Kuwalinda shemeji zako wote humu kwa kuwa najua Asprin na platozoom hawakawii kuwakagua na kuwaharibu mind zao!
Please hakikisha wako salama muda wote
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom