nimefurahi kuona kituo cha matangazo cha DTV kikiwapa airtime VINEGA sio tu kupiga nyimbo zao hata kuwafanyia interview na kupata kuwaelewesha wananchi madhumuni ya vinega. safi sana. ova
Tatizo la DTV ni kuwa hawana vipindi pendwa kwa watoto wa uswazi. Wao ni Clouds tuu, Clouds na wao.
More efforts has to be taken, Vinega waongeze alliance zingine na EATV kwa mfano, nayo ni TV inayopendwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.