Asante jf kwa kunipatia kazi. Unbelievable

SAWEBOY

JF-Expert Member
Apr 6, 2011
241
173
Wapendwa Wana JF wenzangu,

Napenda nimshukuru sana aliyeanzisha mtandao wa Jf kwa sababu mtandao huu umekuwa kiini cha mafanikio kwa watu wengi humu ndani kwa nyanja zote kwa kutoa elimu mbali mbali na taarifa muhimu ikiwemo na matangazo ya kazi.

Binafsi kupitia JF niliona tangazo la kazi, nika-download.....nikajishauri....at the end nikasema....liwalo na liwe....NIKATUMA APPLICATION.....kutest zali. Mungu hamtupi mja wake.....hata kama huna god father....lakini akikupangia kupata unapata tu......ndivyo ilivyotokea kwangu. Nimepata kazi mpya....ambayo nahisi itaniletea mafanikio mema ukilinganisha na kazi ya awali.


USHAURI KWA WANA JF:
1.Tusikate tamaa kuomba kazi ipo siku mungu atakuona, ukiona kimya fahamu mungu ana kusudio fulani na wewe.
2. Pia pmaoja na kuapply kwa sifa ulizo nazo, ONGEZA MAOMBI kwa mungu ili akufanikishie maombi yako.

NAOMBENI USHAURI KWA HILI.

1. Kuna kazi ya serikali ambayo nilikua nafanya, hivyo yanipasa niache na kwenda hii kazi mpya. Je ni taratibu zipi wapendwa wana JF nizifuate ili mwajiri wangu asije nishtaki kwa kuacha kazi ghafla bila kutoa notice ya miezi mitatu kama sheria inavyotaka?

2. Je nikiondoka kwa kumwandikia barua rasmi ya kuacha kazi....anaweza nidai kuwa nimlipe(serikali) mshahara wa mwezi mmoja?

NB: Hiyo kazi niliyopata pia ni serikalini na sio private.


Naombeni msaada wenu wa mawazo wakuu.

NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWENU WAKUU.
 
Mkuu Hongera sana, JF ni zaidi ya Maisha yenyewe, nikiwa JF ni km nipo home na chill na buddies!!
 
Kwanza Hongera SAWEBOY kwa kupata kazi mkuu. Na ukawe chachu ya maendeleo katika Taifa ukiwa kama kijana.

RAI yangu kwako wasiliana na Mamodelator wa JF ili kujua namna ya kuchangia JF na sisi ambao bado tunatafuta sehemu
kama hiyo yako uliyoifurahia tuendelee kuutegemea. Ni mategeo yangu ukichangia ntaona statasi ya jina lako itabadilika tu
 
Hongera sana, ningekushauri um-PM invisible ili kuimarisha mtandao na wengine waangukie ulipoangukia.
 
Wapendwa Wana JF wenzangu,

Napenda nimshukuru sana aliyeanzisha mtandao wa Jf kwa sababu mtandao huu umekuwa kiini cha mafanikio kwa watu wengi humu ndani kwa nyanja zote kwa kutoa elimu mbali mbali na taarifa muhimu ikiwemo na matangazo ya kazi.

Binafsi kupitia JF niliona tangazo la kazi, nika-download.....nikajishauri....at the end nikasema....liwalo na liwe....NIKATUMA APPLICATION.....kutest zali. Mungu hamtupi mja wake.....hata kama huna god father....lakini akikupangia kupata unapata tu......ndivyo ilivyotokea kwangu. Nimepata kazi mpya....ambayo nahisi itaniletea mafanikio mema ukilinganisha na kazi ya awali.


USHAURI KWA WANA JF:
1.Tusikate tamaa kuomba kazi ipo siku mungu atakuona, ukiona kimya fahamu mungu ana kusudio fulani na wewe.
2. Pia pmaoja na kuapply kwa sifa ulizo nazo, ONGEZA MAOMBI kwa mungu ili akufanikishie maombi yako.

NAOMBENI USHAURI KWA HILI.

1. Kuna kazi ya serikali ambayo nilikua nafanya, hivyo yanipasa niache na kwenda hii kazi mpya. Je ni taratibu zipi wapendwa wana JF nizifuate ili mwajiri wangu asije nishtaki kwa kuacha kazi ghafla bila kutoa notice ya miezi mitatu kama sheria inavyotaka?

2. Je nikiondoka kwa kumwandikia barua rasmi ya kuacha kazi....anaweza nidai kuwa nimlipe(serikali) mshahara wa mwezi mmoja?

NB: Hiyo kazi niliyopata pia ni serikalini na sio private.


Naombeni msaada wenu wa mawazo wakuu.

NATANGULIZA SHUKRANI ZANGU KWENU WAKUU.

Hongera Mkuu! Jf ni nyumbani, kijiwe na darasa pia. Nashukuru kwa kuutambua mchango wa wadau wa Jf

Ushauri
1. Ni bora uvunje huo Mkataba kwa taratibu either kwa kutoa notisi ya miezi mitatu kama mkataba unavyokutaka- ila hii ni ngumu kwa sasa coz unaweza poteza hata hii kazi yako mpya ambayo naamini ina maslahi bora zaidi ya ile ya awali(hii haitakufaa)
2. Mpe mwajiri wako wa zamani notisi ya masaa 24, na ulipe mshahara wa mwezi mmoja na ufuate taratibu za kuukatia ERV ambayo itakuwa ni ushahidi kwako kama ataleta longo longo. Hapa option zipo 2,moja lipa huo mshahara toka mfukoni mwako au hata kwa kukopa, na pili unaweza kucheza na muda yaani ukabuy time mpaka mwisho wa mwezi mwajiri wako wa sasa akikupa mshahara unamrudishia uleule mshahara aliokulipa na unaanza kuganga upya na mwajiri wako mtarajiwa. (Posho na marupu rupu hutakiwi kurudisha). Option hii ya pili unaweza kubuy time kwa hata kutoa sababu (kuomba ruhusa)za kuwa na tatizo ambalo litakufanya usiweze kufanya kazi kwa mwajiri wako wa sasa na ukatumia muda huo kuweka sawa na mwajiri wako mtarajiwa au unaweza kumwomba mwajiri wako mtarajiwa akupe muda umalize shida zako, halaf ukaendelea kufanya kazi na mwajiri wako wa sasa, ukilipwa tu mshahara mtwange notisi. Ila usioneshe kwa mwajiri yeyote kati ya hawa wawili kuwa there is something going on! Mi binafsi ilinisaidia sana hii mbinu!
 
Hongera sana.
Soma ile barua yako ya ajira,ina maelezo ya jinsi ya kuacha kazi. Kama sikosei inasema utoe notisi ya mwezi mmoja [hapo huhitaji kutoa hela yoyote]. Alternative nadhani ni kutoa notisi ya masaa 24 pamoja ni mishahara ya miezi mitatu(gross)
kwa ushauri wangu, sio ustaarabu kutoa notisi ya masaa 24 unless una ugomvi mkubwa na mabosi wako. Kama umeshasaini mkataba mpya, jadili na boss wako muanbie unafikiria kuondoka. Then ongea na hr uhakikishe unaelewa clearly utaratibu. Halafu fuata utaratibu. Ni muhinu kunalizana vizuri na mabosi wako, huwezi jua kesho utamkuta no board chairperson mahali na unautaka ukurugenzi.
 
Hongera sana.
Soma ile barua yako ya ajira,ina maelezo ya jinsi ya kuacha kazi. Kama sikosei inasema utoe notisi ya mwezi mmoja [hapo huhitaji kutoa hela yoyote]. Alternative nadhani ni kutoa notisi ya masaa 24 pamoja ni mishahara ya miezi mitatu(gross)
kwa ushauri wangu, sio ustaarabu kutoa notisi ya masaa 24 unless una ugomvi mkubwa na mabosi wako. Kama umeshasaini mkataba mpya, jadili na boss wako muanbie unafikiria kuondoka. Then ongea na hr uhakikishe unaelewa clearly utaratibu. Halafu fuata utaratibu. Ni muhinu kunalizana vizuri na mabosi wako, huwezi jua kesho utamkuta no board chairperson mahali na unautaka ukurugenzi.

Hizo red lines nadhan umeoverlook alichokieleza mleta thread hii, barua ya ajira yake ya awali hakuionesha hapa, ila kwa maelezo yake hiyo barua/mkataba wake wa awali unamtaka either atoe notisi ya masaa 24 na alipe mshahara wa mwezi mmoja( ndo inavyosemwa katika mikataba mingi ya ajira ELRA) au atoe notisi ya miezi mitatu na aendelee kufanya kazi na atakuwa analipwa mshahara wake full, (ila hapa mwajiri anaweza kuondoa marupurupu na posho). Maana ya hivi vipengele viwili ni
1. Mshahara wa mwezi mmoja unaomlipa mwajiri baada ya kutoa notisi ya masaa 24 unamwezesha mwajiri kufanya emergency hiring ya mtu mwingine ambaye atafanya kazi ambayo wewe umeiacha, wakati huo huo anafanya taratibu za kupata mtu permanent
2. Notisi ya miezi 3 inamwezesha mwajiri kujiandaa kutafuta mtu wa kufanya kazi baada ya wewe kuondoka

Hakuna sehemu yoyote ya mkataba unaotambulika kisheria inayomtaka mwajiriwa anayevunja mkataba kulipa mishahara ya miezi 3( Binafsi nimeshafanya kazi za mikataba na waajiri watatu tofauti-hicho kipengele hakikuwepo ktk mikataba yote, halafu nilikuwa nafanya reference kwa ELRA terms, nacho hicho kipengele hakipo)
Kwenye hiyo bold, theoretically yes, practically impossible kwa sababu hakuna mwajiri ambaye ulikuwa unafanya kazi yake angependa uondoke, hivyo kuna hatari hata ya kukubambikia kesi au makosa na kuharibu reputation yako, notisi ya masaa 24 ipo kisheria, hakuna ubaya kutekeleza sheria hata kama upande mmoja unaumia

Angalia mchango wangu kwa mada hii hapo juu. Nasubiri michango ya wana Jf wengine kama nimechemka sehemu nitakuwa tayari kujifunza. Karibuni
 
Kwanza hongera kwa kupata kazi.
Kama ulivyosema kuwa JF imekusaidia na unaishukuru vile vile ungewasaidia wenzio wenye uhitaji kama "uliokua nao awali" wa kazi wajiunge na forum ili wafaidike kama wewe.
Tatu, nakushauri next time ukifikiria kuacha kazi toka kwa mwajiri mmoja kwenda mwingine, ni bora ukatoa notice ya mwezi mzima kuliko kukurupuka haraka haraka (zima moto)
Kazi zipo na zitaendelea kuwepo for as long as the man lives. Si ajabu ukapata kazi nyingine baada ya hiyo ndani ya miezi sita ambayo probably inaweza kuwa bora zaidi ya hiyo. Jifunze kutengeneza confidence binafsi kwa kumwambia mwajiri wako mtarajiwa kuwa utakua tayari kujiunga naye ndani ya mwezi au miezi miwili. Your confidence is what sells you.
La mwisho jitahidi katika mshahara wako uwe una save for investment. Watz wengi tunapenda kukopa kwenye mabenki bila kuwa na plan. Hili litakusaidia sana.
Wasalaam.
 
Hongera sana.
Soma ile barua yako ya ajira,ina maelezo ya jinsi ya kuacha kazi. Kama sikosei inasema utoe notisi ya mwezi mmoja [hapo huhitaji kutoa hela yoyote]. Alternative nadhani ni kutoa notisi ya masaa 24 pamoja ni mishahara ya miezi mitatu(gross)
kwa ushauri wangu, sio ustaarabu kutoa notisi ya masaa 24 unless una ugomvi mkubwa na mabosi wako. Kama umeshasaini mkataba mpya, jadili na boss wako muanbie unafikiria kuondoka. Then ongea na hr uhakikishe unaelewa clearly utaratibu. Halafu fuata utaratibu. Ni muhinu kunalizana vizuri na mabosi wako, huwezi jua kesho utamkuta no board chairperson mahali na unautaka ukurugenzi.
Kwenye bold umechanganya Mkuu King'asti. Ni Notisi ya miezi mitatu bila mshahara au Saa 24 na mshahara wa mwezi mmoja na unakatiwa ERV kama alivyosema mdau mmoha japo juu. Kwa muuliza swali. Nenda karipoti kwenye kituo kipya, then omba ruhusa ya siku 14 ya kujiandaa. Hizo siku 14 rudi kwa mwajiri wako wa sasa kapige kazi mpaka tarehe 20 hivi kisha hapo utakuwa eligible kwa mshahara wa mwezi huu. Ikifika mwisho wa mwezi mshahara kamrudhishie mwajiri wako na kutoa notisi ya saa 24. It is as simple as that!!! Hongera kwa kupata kazi nyingine
 
Last edited by a moderator:
Ndg usithubutu kuacha kaz kwa saa 24 coz ukiacha check no yko pamoja na jna vnabak vle2 kwahyo kuingzwa tena kwny system inashndkana so its beta ukaomba uhamisho ili uendlee kuwa na check no ile2. Ungepata private ndo ungeweza kuacha kwa saa24
 
Back
Top Bottom