Kaa la Moto
JF-Expert Member
- Apr 24, 2008
- 7,903
- 1,053
Leo BBC imekuwa na mahojiano na mkuu wetu Maxence na ndugu yetu Zitto katika kipindi maalum kinachohusika na uchaguzi mkuu.
Hii ni heshima kwa JF kwamba inatambulika kwa mchango wake katika siasa za nchi yetu. Navihasa vyombo vingine vya habari vya nchi hii kutambua uwepo wetu na mchango wetu katika ujenzi wa nchi yetu.
Narudia asante sana BBC na asante sana Max na Zitto kwa kuitangaza JF.
Hii ni heshima kwa JF kwamba inatambulika kwa mchango wake katika siasa za nchi yetu. Navihasa vyombo vingine vya habari vya nchi hii kutambua uwepo wetu na mchango wetu katika ujenzi wa nchi yetu.
Narudia asante sana BBC na asante sana Max na Zitto kwa kuitangaza JF.