Asamoaaa!

Pdidy

JF-Expert Member
Nov 22, 2007
50,900
21,988
Pengine jana nilikuwa mmoja wa waliokuwa na furaha na kupata nafasi ya kuangalia mechi ya simba na yanga. Ilinichukua kuamini kweli tumeshinda Mungu mkubwa.

Najua unajiulizaje asamoah amekuja huku..la hasha nimependa kilichotokea juuyake..kwanza alipewa nafasi ya kufanya mazoezi dk 20 kabla ya kuisha mpira ndani ya dk 90...alipofanya baada ya dk 12 akaona akuna anaemwita akaamua kurudi kwenye benchi sitak kujua kilichotokea na kocha mkuu akuwa hata anakumbuka kuna mtu kama yule...wengi wakatarajia baada ya dk 90 ataingizwa kuanza 15 la hasha...15 dk zikapita alipofika 15 za kumalizia ngwe kijana akaambiwa akakimbie akagoma na mwisho kocha akaamua kumvalisha jezi ..akiwa anaingia ni wengi wakaanza kupiga kelele na pengine walihisi mzigo mwingine baada ya davis mwape kuonekana kama mtalii kutoka zambia alietoa hongo kwa kocha tsimbe asimtoe hata mechi moja pamoja na kuvurunga...sasa basi

Pengine wengi wamezoea kwenye mapenzi hapa nazungumzia wanandoa kucheza bila kufanya substituons za style zao..na pengine wengi leo hii ndoa zao zimewagarimu kutotkana na kuogopa sub..si haba kama tulivyoona hapo juu kinachotakiwa uwe mvumilivu na mwisho wa mapenzi ushindi lazima upatikane...si haba kama mwenzio ameshindwa kukwambia mwenzangu kila siku hii inatosha basi na wewe kuwa kama asamoah amua kufanya mazoezi kwa muda na baada ya hapo ingia fanya sub ya style zenu mlizozoea la hasha kila mtu mtafurahia matunda yenu ya ndoa kama washabiki wa yanga ..kizuri ukiwa kama asamooah we ndie wa kwanza kufurahia mapenzi yako..wengi kinawagarimu sana wakiwa nje ya ndoa ama nyumba ndogo wanajituma kweliiiiiii kweliiiiiiiiiiii lakini wakifika kwa wake zao ambao ndio halali wametoka kwa bwana wanaishia kujilaza wakiogopa sub..usiogope kila kitu kwenye maisha kina furaha yake swala ni jinsi gani utakavyoingia.

Nakutakia maisha mema kwenye games zenu mtakazo kuwa aijalishi wewe simba mma yanga swala mshindi lazima apatikane kama asamoah
 
aijalishi washabiki wengi kama Yanga watakuutukana watakusema ukiwa unaingia swala ni jua ushindi kwako ni muhimu na maana zaidi weka akili yako sawa ukiwa kwenye furaha hasa mechi za simba na yanga ,jitume usiogope kujituma mechi muhimu wengi wamezoea kujituma mechi na majimaji /toto afrika la hasha kwanza unatakiwa kutoka huko jitume ukiwa ndan ya benjamini mkaapa stadium..achana na uhuru stadium utachimba vidole uaribu enka zako pengine usipone kabisa kama canavaro waitalia mpira ubaki kwako historia kwanini utundike daruga kijana hivyo wakati nguvu unazo swala kujituma jamani ...

kila la kheri wanandoa
 
toa upuuzi huu hapa Pdidy...............................alah!!!!!!!!!!!!
peleka kule kwake.......
 
PENGINE JANA NILIKUWA MMOJA WA WALIOKUWA NA FURAHA NA KUPATA NAFASI YA KUANGALIA MECHI YA SIMBA NA YANGA
ILINICHUKUA KUAMINI KWELI TUMESHINDA ....,MUNGU MKUBWA
NAJUA UNAJIULIZAJE ASAMOAH AMEKUJA HUKU..LA HASHA NIMEPENDA KILICHOTOKEA JUUYAKE..KWANZA ALIPEWA NAFASI YA KUFANYA MAZOEZI DK 20 KABLA YA KUISHA MPIRA NDANI YA DK 90...ALIPOFANYA BAADA YA DK 12 AKAONA AKUNA ANAEMWITA AKAAMUA KURUDI KWENYE BENCHI SITAK KUJUA KILICHOTOKEA NA KOCHA MKUU AKUWA HATA ANAKUMBUKA KUNA MTU KAMA YULE...WENGI WAKATARAJIA BAADA YA DK 90 ATAINGIZWA KUANZA 15 LA HASHA...15 DK ZIKAPITA ALIPOFIKA 15 ZA KUMALIZIA NGWE KIJANA AKAAMBIWA AKAKIMBIE AKAGOMA NA MWISHO KOCHA AKAAMUA KUMVALISHA JEZI ..AKIWA ANAINGIA NI WENGI WAKAANZA KUPIGA KELELE NA PENGINE WALIHISI MZIGO MWINGINE BAADA YA DAVIS MWAPE KUONEKANA KAMA MTALII KUTOKA ZAMBIA ALIETOA HONGO KWA KOCHA TSIMBE ASIMTOE HATA MECHI MOJA PAMOJA NA KUVURUNGA...SASA BASI

PENGINE WENGI WAMEZOEA KWENYE MAPENZI HAPA NAZUNGUMZIA WANANDOA KUCHEZA BILA KUFANYA SUBSTITUONS ZA STYLE ZAO..NA PENGINE WENGI LEO HII NDOA ZAO ZIMEWAGARIMU KUTOTKANA NA KUOGOPA SUB..SI HABA KAMA TULIVYOONA HAPO JUU KINACHOTAKIWA UWE MVUMILIVU NA MWISHO WA MAPENZI USHINDI LAZIMA UPATIKANE...SI HABA KAMA MWENZIO AMESHINDWA KUKWAMBIA MWENZANGU KILA SIKU HII INATOSHA BASI NA WEWE KUWA KAMA ASAMOAH AMUA KUFANYA MAZOEZI KWA MUDA NA BAADA YA HAPO INGIA FANYA SUB YA STYLE ZENU MLIZOZOEA LA HASHA KILA MTU MTAFURAHIA MATUNDA YENU YA NDOA KAMA WASHABIKI WA YANGA ..KIZURI UKIWA KAMA ASAMOOAH WE NDIE WA KWANZA KUFURAHIA MAPENZI YAKO..WENGI KINAWAGARIMU SANA WAKIWA NJE YA NDOA AMA NYUMBA NDOGO WANAJITUMA KWELIIIIIII KWELIIIIIIIIIIII LAKINI WAKIFIKA KWA WAKE ZAO AMBAO NDIO HALALI WAMETOKA KWA BWANA WANAISHIA KUJILAZA WAKIOGOPA SUB..USIOGOPE KILA KITU KWENYE MAISHA KINA FURAHA YAKE SWALA NI JINSI GANI UTAKAVYOINGIA ......

Nakutakia maisha mema kwenye games zenu mtakazo kuwa aijalishi wewe simba mma yanga swala mshindi lazima apatikane kama asamoah
Mmmh!! Wewe ulifanya sub ya style jana baada ya kusherehekea ushindi???
 
sana aikunichukua muda mrefu kusherekea kama mechi nyingine alintoa kamasi kijana
 
Back
Top Bottom