Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,900
- 21,988
Pengine jana nilikuwa mmoja wa waliokuwa na furaha na kupata nafasi ya kuangalia mechi ya simba na yanga. Ilinichukua kuamini kweli tumeshinda Mungu mkubwa.
Najua unajiulizaje asamoah amekuja huku..la hasha nimependa kilichotokea juuyake..kwanza alipewa nafasi ya kufanya mazoezi dk 20 kabla ya kuisha mpira ndani ya dk 90...alipofanya baada ya dk 12 akaona akuna anaemwita akaamua kurudi kwenye benchi sitak kujua kilichotokea na kocha mkuu akuwa hata anakumbuka kuna mtu kama yule...wengi wakatarajia baada ya dk 90 ataingizwa kuanza 15 la hasha...15 dk zikapita alipofika 15 za kumalizia ngwe kijana akaambiwa akakimbie akagoma na mwisho kocha akaamua kumvalisha jezi ..akiwa anaingia ni wengi wakaanza kupiga kelele na pengine walihisi mzigo mwingine baada ya davis mwape kuonekana kama mtalii kutoka zambia alietoa hongo kwa kocha tsimbe asimtoe hata mechi moja pamoja na kuvurunga...sasa basi
Pengine wengi wamezoea kwenye mapenzi hapa nazungumzia wanandoa kucheza bila kufanya substituons za style zao..na pengine wengi leo hii ndoa zao zimewagarimu kutotkana na kuogopa sub..si haba kama tulivyoona hapo juu kinachotakiwa uwe mvumilivu na mwisho wa mapenzi ushindi lazima upatikane...si haba kama mwenzio ameshindwa kukwambia mwenzangu kila siku hii inatosha basi na wewe kuwa kama asamoah amua kufanya mazoezi kwa muda na baada ya hapo ingia fanya sub ya style zenu mlizozoea la hasha kila mtu mtafurahia matunda yenu ya ndoa kama washabiki wa yanga ..kizuri ukiwa kama asamooah we ndie wa kwanza kufurahia mapenzi yako..wengi kinawagarimu sana wakiwa nje ya ndoa ama nyumba ndogo wanajituma kweliiiiiii kweliiiiiiiiiiii lakini wakifika kwa wake zao ambao ndio halali wametoka kwa bwana wanaishia kujilaza wakiogopa sub..usiogope kila kitu kwenye maisha kina furaha yake swala ni jinsi gani utakavyoingia.
Nakutakia maisha mema kwenye games zenu mtakazo kuwa aijalishi wewe simba mma yanga swala mshindi lazima apatikane kama asamoah
Najua unajiulizaje asamoah amekuja huku..la hasha nimependa kilichotokea juuyake..kwanza alipewa nafasi ya kufanya mazoezi dk 20 kabla ya kuisha mpira ndani ya dk 90...alipofanya baada ya dk 12 akaona akuna anaemwita akaamua kurudi kwenye benchi sitak kujua kilichotokea na kocha mkuu akuwa hata anakumbuka kuna mtu kama yule...wengi wakatarajia baada ya dk 90 ataingizwa kuanza 15 la hasha...15 dk zikapita alipofika 15 za kumalizia ngwe kijana akaambiwa akakimbie akagoma na mwisho kocha akaamua kumvalisha jezi ..akiwa anaingia ni wengi wakaanza kupiga kelele na pengine walihisi mzigo mwingine baada ya davis mwape kuonekana kama mtalii kutoka zambia alietoa hongo kwa kocha tsimbe asimtoe hata mechi moja pamoja na kuvurunga...sasa basi
Pengine wengi wamezoea kwenye mapenzi hapa nazungumzia wanandoa kucheza bila kufanya substituons za style zao..na pengine wengi leo hii ndoa zao zimewagarimu kutotkana na kuogopa sub..si haba kama tulivyoona hapo juu kinachotakiwa uwe mvumilivu na mwisho wa mapenzi ushindi lazima upatikane...si haba kama mwenzio ameshindwa kukwambia mwenzangu kila siku hii inatosha basi na wewe kuwa kama asamoah amua kufanya mazoezi kwa muda na baada ya hapo ingia fanya sub ya style zenu mlizozoea la hasha kila mtu mtafurahia matunda yenu ya ndoa kama washabiki wa yanga ..kizuri ukiwa kama asamooah we ndie wa kwanza kufurahia mapenzi yako..wengi kinawagarimu sana wakiwa nje ya ndoa ama nyumba ndogo wanajituma kweliiiiiii kweliiiiiiiiiiii lakini wakifika kwa wake zao ambao ndio halali wametoka kwa bwana wanaishia kujilaza wakiogopa sub..usiogope kila kitu kwenye maisha kina furaha yake swala ni jinsi gani utakavyoingia.
Nakutakia maisha mema kwenye games zenu mtakazo kuwa aijalishi wewe simba mma yanga swala mshindi lazima apatikane kama asamoah