we kijana hiyo unayohitaji lita moja ni Tsh 10,000 (Elf kumi tu) nayo ni kwa walinaji wenyewe kutoka kijiji cha Kitunda na Kipili wilaya Sikonge. Jaribu watu wa huko uongee nao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.