M Maroune Member Mar 20, 2011 34 7 Jul 17, 2012 #1 ASALI ni dawa nzuri sana jamani, nauza asali nzuri na kwa bei nafuu, kwa yeyote anayehitaji naomba tuwasiliane wandugu
ASALI ni dawa nzuri sana jamani, nauza asali nzuri na kwa bei nafuu, kwa yeyote anayehitaji naomba tuwasiliane wandugu
Wilbert1974 JF-Expert Member Feb 10, 2011 1,632 478 Jul 17, 2012 #2 Mmmh hivi asali ni dawa tena? Inatibu nini? Au chakula?!
SnowBall JF-Expert Member Sep 13, 2011 3,054 2,840 Jul 17, 2012 #3 Maroune said: ASALI ni dawa nzuri sana jamani, nauza asali nzuri na kwa bei nafuu, kwa yeyote anayehitaji naomba tuwasiliane wandugu Click to expand... Kitu cha wapi mkuu??..na ipi iliyochemshwa ama?..hebu funguka zaidi..au mpaka wakuPM?
Maroune said: ASALI ni dawa nzuri sana jamani, nauza asali nzuri na kwa bei nafuu, kwa yeyote anayehitaji naomba tuwasiliane wandugu Click to expand... Kitu cha wapi mkuu??..na ipi iliyochemshwa ama?..hebu funguka zaidi..au mpaka wakuPM?
M Mama Joe JF-Expert Member Mar 30, 2009 1,504 828 Jul 17, 2012 #4 asali toka wapi? bei gani? tuwasiliane vipi wasio jf je? uko wapi? mbichi? n yuki wadogo wakubwa?
M Maroune Member Mar 20, 2011 34 7 Jul 17, 2012 Thread starter #5 SnowBall said: Kitu cha wapi mkuu??..na ipi iliyochemshwa ama?..hebu funguka zaidi..au mpaka wakuPM? Click to expand... si ya kuchemshwa, ni ya tabora mkuu na nyngne ni ya bukoba, vpmo ni kuanzia nusu lita na lita moja, bei ni elfu tano kwa elfu kumi
SnowBall said: Kitu cha wapi mkuu??..na ipi iliyochemshwa ama?..hebu funguka zaidi..au mpaka wakuPM? Click to expand... si ya kuchemshwa, ni ya tabora mkuu na nyngne ni ya bukoba, vpmo ni kuanzia nusu lita na lita moja, bei ni elfu tano kwa elfu kumi