Asalaam aley kum

Masumbo

New Member
Apr 24, 2009
3
0
Nimejiunga rasmi hapa kijiweni(jf)leo hii,inasemekana hapa is a place where any one can dare to speak open;OK ,naomba kuwa uliza enyi wakongwe wa kijiwe-kwanini hapa kijiweni 99.9% yenu mmejicamouflage kwa majina feki(ya bandia)inamaana hapa wote wasanii. pili sijaona option ya kutoka(unsubscribe),inamaana ukiingia huwezi kutoka? nimeuliza kwa nia nzuri ili nianze kuchangia mada.
 
Kwanza karibu. Hapa si kijiweni ndo maana umekaa jamvini. Kwa kuanzia, wewe nawe hilo ni jina lako halisi ama ni la kisanii pia?
 
Kwanza karibu. Hapa si kijiweni ndo maana umekaa jamvini. Kwa kuanzia, wewe nawe hilo ni jina lako halisi ama ni la kisanii pia?
Mimi ni muungwana,mkweli na muwazi na hili ndo jina langu.ukiona mtu anaficha jina kuna ajenda ya siri
 
Nimejiunga rasmi hapa kijiweni(jf)leo hii,inasemekana hapa is a place where any one can dare to speak open;OK ,naomba kuwa uliza enyi wakongwe wa kijiwe-kwanini hapa kijiweni 99.9% yenu mmejicamouflage kwa majina feki(ya bandia)inamaana hapa wote wasanii. pili sijaona option ya kutoka(unsubscribe),inamaana ukiingia huwezi kutoka? nimeuliza kwa nia nzuri ili nianze kuchangia mada.

Huyo Msanii mwenyewe akisoma hii thread atakujibu, yupo mmoja tu!..

Ukiingia unaweza kutoka Robot atakuelezea vizuri. Halafu ndo kwanza umeingia unawaza kuondoka! Kwanini,why!

Karibu sana ndugu Masumbo anza kuchangia mada straight away!..
 
Masumbo karibu sana hapa, tunahitaji michango yako sana, ila usitafute miguu ya nyoka tena!

Stone Town,

Mwana umepona? tulipata habari zako mkuu, Karibu tena tulikumiss sana mdau......!

Nimeona hapa........!

Currently Active Users Viewing This Thread: 4 (4 members and 0 guests)
Next Level, Haika, KYACHAKICHE, StoneTown
 
Huyo Msanii mwenyewe akisoma hii thread atakujibu, yupo mmoja tu!..

Ukiingia unaweza kutoka Robot atakuelezea vizuri. Halafu ndo kwanza umeingia unawaza kuondoka! Kwanini,why!

Karibu sana ndugu Masumbo anza kuchangia mada straight away!..
Poa,nina mada nyingi za kuchangia.ukiujua mlango wa kuingia ni busara ukaujua na wa kutokea usije tokea dirishani.
 
hujambo?

mkenda nchi ya watu wenye chongo nawe pofua lako na kama hutaki kupofua basi tafuta nchi yenye watu wenye macho ili wakuone na wewe uwatazame any way karibu sana
stone towner
 
hujambo?

mkenda nchi ya watu wenye chongo nawe pofua lako na kama hutaki kupofua basi tafuta nchi yenye watu wenye macho ili wakuone na wewe uwatazame any way karibu sana
stone towner

Pole na kuugua maalimu!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom