asalaaam aleykum bibi na bwana

Karibu sana lakini tafadhali usiandike kama unaandikiana sms na marafiki zako, na jaribu kurekebisha kiswahili chako uelewe wapi pakuweka "r" na wapi pakuweka "l". Andika taratibu, usome ulichokiandika na kama umekosea kubofya (typing) unaweza ku-edit na ujumbe wako ukaeleweka vizuri na ukavutia wasomaji wengi kuliko ulivyoandika sasa.

Karibu sana.

haya kaka nitalifanyia kazi hilo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom