As Gold Price climbs, the sore looser we become!

Kwa investor ambaye ni makini bei ya dhahabu inapokuwa juu kupindukia atajitahidi ku-buyback hedge ili kunufaika na bei ya soko. Mkuu nitashangaa sana kama bado kuna makampuni ya dhahabu hapa nchini ambayo bado wana hedge account.

Haiingii akilini hivi ni kweli ??

Ikimita,

Hiyo hedging tuliuziwa sisi tulipopelekwa Chinese Buffet na strip club kuweka dole gumba kwenye mkataba. Maana kila analosema Mzungu tunakubali. Everybody knows kuwa kamwe bei ya dhahabu na precius metals haiwevi kuwa stagnant.

Gold has always been in world economy tang enzi za Pharao na Mfalme Solomon na kule kwa Nebukadneza, that is a fact, historical fact na ni jinsi gani empires zilijijenga kwa kutumia dhahabu.

Then sisi tunadanganywa kirahisi na kwa kuwa Sheria inampa mamlaka Waziri husika kujifanyia analotaka, then this is what we get. Tunaambiwa hedging kwenye dhahabu, while wao wanajua true projections ya commodities kimataifa zinakwendaje.

I would like to know when was this when we pegged the price at $500.00 and we agreed to it, what waws the shape of world economy!
 
Kuna uwezekano mkubwa kuwa bei ya dhahabu itashuka katika kipindi cha miaka miwili. Kwa mtaji huu Tanzania katika kipindi hiki inashindwa kufaidika na ongezeko la bei hiyo.

Lakini kwa upande mwingine, model ya uchumi ya Tanzania haifai. Siku zote serikali ya Tanzania ikipata pesa inaongeza matumizi yake kwenye miradi isiyo na maana. Hivyo basi ongezeko la bei ya dhahabu katika kipindi cha muda mfupi linaweza kuwa na negative effects kwa uchumi wa Tanzania.


Zakumi,

Deni la Taif alinatisha na kila kona tunakamua mpaka tone la mwisho resources zetu. Hivi tutalilipa kwa kitu gani once dhahabu ikikauka?

Hatuna manufacturng capacity, service industry yetu inamilikiwa na Wakenya na inachechemea, hatuna umeme, hatuna barabara nzuri na badala ya matumizi kuelekea kujenga mfumo na msingi imara wa kutumika baadaye kama infrustructure, elimu na afaya, sisi tunaongeza ukubwa wa Serikali kwa kuongeza mikoa, wilaya na kesho kutwa mawaziri na matumizi yao.

It makes you wonder kama hawa mabepari wa kijima walioko ndani ya mfumo wa CCM kweli wanaelewa hili soko huria. Ni heri hata enzi za ujamaa!
 
3% was our best negoatiable deal. I hope we had the best people to repr our interest and that is what we achived!
 
Siyo uchochezi,
ila kwa mwendo huu, naapa itafika mahali uvumilivu utaisha na tutaanza kuchinjana.. Chenge & Co. kwa kweli mjiandae!! hali ni mbaya, na inaelekea kuwa ya hatari kuanzia sasa..
Time will tell!!
 
Back
Top Bottom