Kwa investor ambaye ni makini bei ya dhahabu inapokuwa juu kupindukia atajitahidi ku-buyback hedge ili kunufaika na bei ya soko. Mkuu nitashangaa sana kama bado kuna makampuni ya dhahabu hapa nchini ambayo bado wana hedge account.
Haiingii akilini hivi ni kweli ??
Kuna uwezekano mkubwa kuwa bei ya dhahabu itashuka katika kipindi cha miaka miwili. Kwa mtaji huu Tanzania katika kipindi hiki inashindwa kufaidika na ongezeko la bei hiyo.
Lakini kwa upande mwingine, model ya uchumi ya Tanzania haifai. Siku zote serikali ya Tanzania ikipata pesa inaongeza matumizi yake kwenye miradi isiyo na maana. Hivyo basi ongezeko la bei ya dhahabu katika kipindi cha muda mfupi linaweza kuwa na negative effects kwa uchumi wa Tanzania.
3% was our best negoatiable deal. I hope we had the best people to repr our interest and that is what we achived!