As a Nation, Let us now address the Leadership crisis in our Motherland

Well, tuangalie uchumi wa nchi. Baada ya kupata "ukombozi" Tanzania ilishuka kiuchumi! In other words hakuweza hata ku-maintain level ile ile ya maendeleo. Uliza watu waliokuwa watu wazima miaka ya late 70s na early 80, enzi za migao! Kuna watu wanatetea na kudai kwa sababu ya vita na oil shocks za 70s. Lakini kabla ya hapo (60s-70s) kulifanyika nini?
Kenya ilituacha nyuma kwa sababu ya policies za huyu bwana! Watu waliopingana naye iliwabudu kukimbia nchi, mf Kambona. Wakati wa ukoloni Watz walipewa nafasi za kusoma kwenye shule nzuri na kujiendeleza. Pia kulikuwa na zile Commonwealth Scholarships ambazo wanafunzi waliweza kwenda kusoma bure katika nchi za Commonwealth.
Mashirika ya Umma mengi sasa ivi ni skeletons tu zimebaki. Reli, Umeme tumeshindwa kuendesha, nk! Miji tumeshindwa kuiendeleza.
For me, i believe people who were able to run the country were not given that opportunity.
Pia usisahau kwa kiasi kikubwa yeye ndio amechangia kufikia hali tuliyopo leo - serikali isiyokuwa na true separation of powers. Wananchi kuwa waoga na kutojua haki zao.
Lakini nampa heshima kwa kuweza kuleta Umoja!
Ivi Nyerere alikuwa na qualities gani za kumfanya a good leader? (Maana mimi sioni hata moja)

Nyerere kutaka kuunganisha nchi za Afrika mashariki na katika plan aliyokuwa nayo ya kuwa na population kubwa.Alijua intergration ndiyo njia nzuri ya kujitawala.

I do agree kwamba hatukuwa na intellectuals wengi,but alichukua initiatives kuhakikisha tunakuwa nao.Tatizo au weakness yake kubwa ni kutowaandaa watu na au kutoingiza ideas zake katika mioyo ya wale intellectuals.Hakutoa uhuru wa kutosha wa kuwa criticized

Azimio La Arusha ilikuwa ni Road map nzuri ya kujenga taifa lenye usawa,haki na taifa lenye kuwajibika.Hata hivyo Ideology ya Ujamaa siku zote ni lazima ikuletee elements za kidikteta,hata Nyerere naona alijitahidi sana kuepuka huo Mtego,ila bado as a leader hakufanya inspiration ya kutosha kwa followers wake.this dysfunctionality has affected the state itself. His government did not succeeded in establishing political and administrative systems capable of coping with the challenge posed by his policies in true spirit

Tawala nyingine zilizofuata ndiyo ilikuwa worse kabisa.Kwa sasa bado tunaweza,tuwe sasa na aggressive leaders who can inspire the mass,who can change the attitude and the mind set.Tuwe na taifa linaloamini katika sera na kuingia mioyoni kama imani za kidini.

Kwa kweli huwa nakuwa impressed na jinsi Lula Da Silva wa brazil alivyoweza ku-inspire wananchi wake na kugeauza lower clas more than 60 million kuwa katika Transition period ya kuingia katika middle class income.Historia ya Russia,kutumia only 70 years kuwa super power ni history ambayo haijawahi kutokea.
 
Mr Ben good to hear from you Brother. I think leadership crisis is real and I think thats why Tanzania and Africa have nothing to offer. I am sure we can still solve these problems because our generation is serious about leadership and we are hungry for change. One thing I am confident is current working in Tanzania is cdm strategies. The cdm leadership is putting a lot efforts to educate Tanzanians everywhere in our country and people are walking up. Most people are getting to know their rights and the reasons why Tanzania is poor. For this I say "great job to the cdm leadership"

We also need to remember that our failed economic policies and other policies are caused by poor leadership. We can see ourselves in this government, people are picked base on their relationship with kikwete and being a member of ccm. We all know these people can't perform and the bad thing is kikwete himself is very incompetent. This connection thing in African government is due to lack of jobs and more and more of these fisadi are looking to set up their families so they can continue swallowing people's wealth. When you have people with no ideas and failed policies, what do we expect from them? I am sure these people in our governments are not intelligent enough and those grades they claimed in colleges are pure books. Staying all night studying just to pass exams and not to apply what you learn, what kind of stuff is this. Only in African countries we find these crazy and stupid acts...and some think kikwete and Lowassa were born to be leaders, laughable things...

Thats why we need young people to revolutionize their country and placing new leaderships. We already lost a lot of time...
 
Mr Ben good to hear from you Brother. I think leadership crisis is real and I think thats why Tanzania and Africa have nothing to offer. I am sure we can still solve these problems because our generation is serious about leadership and we are hungry for change. One thing I am confident is current working in Tanzania is cdm strategies. The cdm leadership is putting a lot efforts to educate Tanzanians everywhere in our country and people are walking up. Most people are getting to know their rights and the reasons why Tanzania is poor. For this I say "great job to the cdm leadership"

We also need to remember that our failed economic policies and other policies are caused by poor leadership. We can see ourselves in this government, people are picked base on their relationship with kikwete and being a member of ccm. We all know these people can't perform and the bad thing is kikwete himself is very incompetent. This connection thing in African government is due to lack of jobs and more and more of these fisadi are looking to set up their families so they can continue swallowing people's wealth. When you have people with no ideas and failed policies, what do we expect from them? I am sure these people in our governments are not intelligent enough and those grades they claimed in colleges are pure books. Staying all night studying just to pass exams and not to apply what you learn, what kind of stuff is this. Only in African countries we find these crazy and stupid acts...and some think kikwete and Lowassa were born to be leaders, laughable things...

Thats why we need young people to revolutionize their country and placing new leaderships. We already lost a lot of time...

We cant continue to allow those old hags to destroy this country. They are ruling with running things with their old school mentality, and their tired courage. They only think of themselves and their families and how to bequit wealth for their posterity. And they have misguided the youth of this nation by letting them run around as they choose. The mind of the youth is selfish: its either they are down in one party, or working in a bank or going into music. Once the generation of JK and his guys end, Tanzania may be in for a tough time . I have been singing this song to the ears of my guys for so long.

I have been thinking about this since God's knows when. That is the only way. We as young men need to develop a kind of Youth Movement for change.
A political movement that will begin to rouse all the youth. I am telling you it can work

To begin to change this country, we must begin to inspire the youth. And that is some major project. Target the youth
and forget those old hags. Their time is up.It is the time for second Liberation struggle,Get Ready! Mungu Ibariki Tanzania,Mwenyezi Mungu Tuzidishie nguvu na Maono
 
Nyerere kutaka kuunganisha nchi za Afrika mashariki na katika plan aliyokuwa nayo ya kuwa na population kubwa.Alijua intergration ndiyo njia nzuri ya kujitawala.

I do agree kwamba hatukuwa na intellectuals wengi,but alichukua initiatives kuhakikisha tunakuwa nao.Tatizo au weakness yake kubwa ni kutowaandaa watu na au kutoingiza ideas zake katika mioyo ya wale intellectuals.Hakutoa uhuru wa kutosha wa kuwa criticized

Azimio La Arusha ilikuwa ni Road map nzuri ya kujenga taifa lenye usawa,haki na taifa lenye kuwajibika.Hata hivyo Ideology ya Ujamaa siku zote ni lazima ikuletee elements za kidikteta,hata Nyerere naona alijitahidi sana kuepuka huo Mtego,ila bado as a leader hakufanya inspiration ya kutosha kwa followers wake.this dysfunctionality has affected the state itself. His government did not succeeded in establishing political and administrative systems capable of coping with the challenge posed by his policies in true spirit

Tawala nyingine zilizofuata ndiyo ilikuwa worse kabisa.Kwa sasa bado tunaweza,tuwe sasa na aggressive leaders who can inspire the mass,who can change the attitude and the mind set.Tuwe na taifa linaloamini katika sera na kuingia mioyoni kama imani za kidini.

Kwa kweli huwa nakuwa impressed na jinsi Lula Da Silva wa brazil alivyoweza ku-inspire wananchi wake na kugeauza lower clas more than 60 million kuwa katika Transition period ya kuingia katika middle class income.Historia ya Russia,kutumia only 70 years kuwa super power ni history ambayo haijawahi kutokea.

Nadhani bwana "Chapakazi" arejee kwa ufafanuzi zaidi.
Japo mi nimemuelewa, ukweli ni kwamba mzee nyerere alikuwa anajenga misingi ya nchi,
Tunapokubali kuwa alikuwa anamapungufu basi pia hatuwezi kukubali tu mapungufu yake,
Bali ni lazima tuelewe kwakuwa alikuwa anajenga msingi basi mapungufu yake (haijalishi tutaya-justfy vipi) ni ya msingi.
Mapungufu ya msingi kiasi kwamba ni si busara kujenga juu ya msingi wenye mapungufu hayo huku tukiendelea kumsifia kinafiki.
Namuheshimu sana Mzee (Baba wa taifa) Nyerere lakini kama tunaelekea kujenga fikra mpya za ukombozi ujao wa taifa hili,
Suala la kuanza upya halikwepeki. NI lazima tuanze upya kwa kuchukua yale ya bora ya mwalimu (kama Azimio la Arusha).
Hapo tunaweza kukaa sehemu na kusema kweli tunajenga upya.
 
Nyerere kutaka kuunganisha nchi za Afrika mashariki na katika plan aliyokuwa nayo ya kuwa na population kubwa.Alijua intergration ndiyo njia nzuri ya kujitawala.

I do agree kwamba hatukuwa na intellectuals wengi,but alichukua initiatives kuhakikisha tunakuwa nao.Tatizo au weakness yake kubwa ni kutowaandaa watu na au kutoingiza ideas zake katika mioyo ya wale intellectuals.Hakutoa uhuru wa kutosha wa kuwa criticized

Azimio La Arusha ilikuwa ni Road map nzuri ya kujenga taifa lenye usawa,haki na taifa lenye kuwajibika.Hata hivyo Ideology ya Ujamaa siku zote ni lazima ikuletee elements za kidikteta,hata Nyerere naona alijitahidi sana kuepuka huo Mtego,ila bado as a leader hakufanya inspiration ya kutosha kwa followers wake.this dysfunctionality has affected the state itself. His government did not succeeded in establishing political and administrative systems capable of coping with the challenge posed by his policies in true spirit

Tawala nyingine zilizofuata ndiyo ilikuwa worse kabisa.Kwa sasa bado tunaweza,tuwe sasa na aggressive leaders who can inspire the mass,who can change the attitude and the mind set.Tuwe na taifa linaloamini katika sera na kuingia mioyoni kama imani za kidini.

Kwa kweli huwa nakuwa impressed na jinsi Lula Da Silva wa brazil alivyoweza ku-inspire wananchi wake na kugeauza lower clas more than 60 million kuwa katika Transition period ya kuingia katika middle class income.Historia ya Russia,kutumia only 70 years kuwa super power ni history ambayo haijawahi kutokea.

Ivi ni nani alichangia kuivunja EAC mwaka 77? Ningefurahi kama kuna analysis yoyeto iliyofanyika hapa. Maana sababu tunayopewa ni political difference. Lakini hizo political differences zilikuwa nini hasa?
Pili, Nyerere hakuweza kurekebisha mfumo kabla ya kuondoka? Ni kweli waliofuata walizidiwa lakini kwa upande mmoja wamefanya vizuri zaidi kiuchumi zaidi ya Nyerere.
Tatizo sio kiongozi mmoja, bali timu ya uongozi! Mara nyingi sifa zinapewa kwa mmoja, lakini kumbuka timu nzima lazima ifanye kazi. Ndio maana nawashangaa watu kama Magufuli (wanaojua na kuweza kazi) wanabaki ccm! Slaa akiingia leo anahitaji timu ya kumsaidia. Nyerere alijikusanyia wafuasi aka kina Kawawa, etc!
 
Nadhani bwana "Chapakazi" arejee kwa ufafanuzi zaidi.
Japo mi nimemuelewa, ukweli ni kwamba mzee nyerere alikuwa anajenga misingi ya nchi,
Tunapokubali kuwa alikuwa anamapungufu basi pia hatuwezi kukubali tu mapungufu yake,
Bali ni lazima tuelewe kwakuwa alikuwa anajenga msingi basi mapungufu yake (haijalishi tutaya-justfy vipi) ni ya msingi.
Mapungufu ya msingi kiasi kwamba ni si busara kujenga juu ya msingi wenye mapungufu hayo huku tukiendelea kumsifia kinafiki.
Namuheshimu sana Mzee (Baba wa taifa) Nyerere lakini kama tunaelekea kujenga fikra mpya za ukombozi ujao wa taifa hili,
Suala la kuanza upya halikwepeki. NI lazima tuanze upya kwa kuchukua yale ya bora ya mwalimu (kama Azimio la Arusha).
Hapo tunaweza kukaa sehemu na kusema kweli tunajenga upya.

Msingi mzuri aliojenga ni umoja. Hilo nimempa sifa zote. Lakini misingi gani mingine ameweka? Kina kikwete ni products wa ideology yake, je wanaweza?
 
Msingi mzuri aliojenga ni umoja. Hilo nimempa sifa zote. Lakini misingi gani mingine ameweka? Kina kikwete ni products wa ideology yake, je wanaweza?

Nadhani tukipata historia ya kambona,Nyerere,Kawawa na kile walichopigania na kile kilichowatenganisha tutaweza kujadili kwa uwazi.Pia Kikwete anaweza kuwa zao la Ideology yake lakini bado hatuwezi kumhukumu Nyerere per se.ideology ni imani,hebu sasa tujadili katika muktadha huo
 
Back
Top Bottom