As a loving and Life Experienced Parent, Would you.................?

MwanajamiiOne

Platinum Member
Jul 24, 2008
10,470
6,562
Dear Wana MMU,
Habari za siku kadhaa......nimewamiss sana wapendwa! Natumaini wote mu wa zima

Nimekuwa nikisikiliza Powerbreakfast ya Clouds kwa siku kadhaa sasa (Tangu issue ya Babu wa Loliondo). Kuna matangazo ambayo yamenigusa na kuamsha maswali kadhaa kichwani mwangu................kuhusu vigezo vinavyozingatiwa na wazazi wa Binti katika kupokea posa/mahari........... matangazo yao yanaportray kuwa huwa kuna vigezo ambavyo wazazi wa Binti huviangalia wakati wa kupokea posa/mahari ya binti yao.....kimoja wapo ni mali au uwezo wa kifedha (either kuwa na kazi nzuri au some prosperious future prospects ya Mwanaume au familia atokayo mwanaume anayedhamiria kumuoa binti yao).

Najiiuliza maswali kadhaa but makubwa kati ya hayo ni
1. Iki wapi nafasi ya Love doesnt ask way, love conquers all, love do not care about material things including money and wealth e.t.c na;
2. You as a parent with experience in marriage life.............would you let your daughter get married get married to a Man who does not have any prospect in future (in terms of education or careerwise) in the name of Love? Would you pokea mahari or posa in that matter kutoka kwa expected son-in-law ambaye hana mbelel (wala hategemei kuwa na mbele) wala nyuma simply because binti yako amefall??

Karibuni tujuzane......
 
MJ1

kwa maoni yangu, mapenzi ni sehemu ya maisha na sio maisha yote. Familia iliojaa mapenzi ya kweli ni familia ambayo kila mhusika ana uwezo wa kubeba jukumu lake ipasavyo. Kuangalia uwezo na uwezekano wa kipato cha mwanaume katika uchumba/posa ni muhimu kwa stability ya familia itakayoundwa kwenye ndoa.

halaf sjui kwanini MJ1 nakuheshim sana. dah!
 
MJ1

kwa maoni yangu, mapenzi ni sehemu ya maisha na sio maisha yote. Familia iliojaa mapenzi ya kweli ni familia ambayo kila mhusika ana uwezo wa kubeba jukumu lake ipasavyo. Kuangalia uwezo na uwezekano wa kipato cha mwanaume katika uchumba/posa ni muhimu kwa stability ya familia itakayoundwa kwenye ndoa.

halaf sjui kwanini MJ1 nakuheshim sana. dah!

sikujua una busara kiasi hiki....duh,ushalobaro umewekwa pembeni sasa.....Kloro wa ukweli ndo huyu....mimi penda wewe zaidi!!!:focus:
 
Lazima waangalie kujua kwamba huko atakapoenda mwanao hatashindwa kuishi angalau maisha ya kawaida!Mtu ambae haonyeshi hata matarajio ya kufanya kitu huko mbele ni ngumu kumsukumia mwanao!
 
Mimi as a future parent to be (if God wishes).....nitamshauri mwanangu kuhusu huyo mwanaume....baada ya kuzungumza nae sana....na nitasisitiza sifurahii na sina amani na uamuzi wa kumuoa mwanaume ambaye hana mbele na haelekei......akiamua baada ya hayo yote anataka kuendelea na ndoa.....nitaheshimu hilo, nitapokea mahari na kumpa baraka zake na kumuombea......:washing:
 
MJ1

kwa maoni yangu, mapenzi ni sehemu ya maisha na sio maisha yote. Familia iliojaa mapenzi ya kweli ni familia ambayo kila mhusika ana uwezo wa kubeba jukumu lake ipasavyo. Kuangalia uwezo na uwezekano wa kipato cha mwanaume katika uchumba/posa ni muhimu kwa stability ya familia itakayoundwa kwenye ndoa.

halaf sjui kwanini MJ1 nakuheshim sana. dah!

Klorokwini dah..........kwanza napenda kukushukuru kwa hiyo Heshima unipayo ingawa I doubt kama ninaideserve. But thanx my dia.

Yes I think kwa mzazi yoyote anayejua maana halisi ya maisha na yule aliye na uelewa halisi wa uhalisia wa maisha kwake slogans za love doesnt ask why and the alike hazitahold water............... even to me. Sasa najiuliza where is the so called purity of love? Je bado tunaamini slogani za mapenzi ni maua, popote huchanua zinaapply kwenye maisha ya sasa au sisi kama wazazi tunatakiwa kuput some senses kwa wenetu wenye imani juu ya penzi ni maua popote huchanua whether ni nyumbani kwa Mchoma mkaa au Mbunge.... kwa kuwaalert so that they wake up and smell the coffee of the reality of real life........kuwa mapenzi ya novel za Mills and Booms hayaapply kwenye ulimwengu huu wa mapenzi ya Karne ya 21?
 
Mwanajamii
Hongera kwa thread ambazo ziko so practical, halfu so challenging!!

Mhhh...kama huyo kijana umesema "hana mbelel (wala hategemei kuwa na mbele) wala nyuma simply because binti yako amefall??" kwa kweli kama mzazi, nafikiri nitatumia nafasi zaidi ya kumshauri huyo binti yangu kuelewa kuwa maisha ni zaidi ya falling in love! Lakini, inawezekana kijana akawa hana mali lakini anaonyesha yuko serious na ana bidiii; hapo naweza nikakubali, maana najua pesa watatafuta wakiwa wote!!!
 
MJ1

kwa maoni yangu, mapenzi ni sehemu ya maisha na sio maisha yote. Familia iliojaa mapenzi ya kweli ni familia ambayo kila mhusika ana uwezo wa kubeba jukumu lake ipasavyo. Kuangalia uwezo na uwezekano wa kipato cha mwanaume katika uchumba/posa ni muhimu kwa stability ya familia itakayoundwa kwenye ndoa.

halaf sjui kwanini MJ1 nakuheshim sana. dah!
Klorokwin Duh............ Thanx so much for the Heshima ulonipa though I do doubt if I deserves it. Thamx anyway


Yes I agree with you kuwa kwa mzazi ambaye ana enough experience ya maisha juu yalivyo, ambaye anaelewa fika kuwa slogani za Love doesnt ask why, sijui love is blind and the alike, hawezi kumwachia mwanae aolewe na mtu ambaye ni hohehae (kwa maana kuwa careerwise hana prospects yoyote na even at family level hakuna matumaini kuwa anawezabahatika kurithi mali nyingi) anaweza kukubali bintiye akaolewa na fukara......... hata mie. Ninaamini kabisa kuwa hakuna mzazi ambaye anampenda binti yake na anaelewa hali halisi ya maisha ya ndioa ambaye atamwachia binti yake aapplply mapenzi ya kwenye vitabu vya Mills & Bills kwenye reality na asimfanye ' a wake up and smell the coffee".
 
Klorokwini dah..........kwanza napenda kukushukuru kwa hiyo Heshima unipayo ingawa I doubt kama ninaideserve. But thanx my dia.

Yes I think kwa mzazi yoyote anayejua maana halisi ya maisha na yule aliye na uelewa halisi wa uhalisia wa maisha kwake slogans za love doesnt ask why and the alike hazitahold water............... even to me. Sasa najiuliza where is the so called purity of love? Je bado tunaamini slogani za mapenzi ni maua, popote huchanua zinaapply kwenye maisha ya sasa au sisi kama wazazi tunatakiwa kuput some senses kwa wenetu wenye imani juu ya penzi ni maua popote huchanua whether ni nyumbani kwa Mchoma mkaa au Mbunge.... kwa kuwaalert so that they wake up and smell the coffee of the reality of real life........kuwa mapenzi ya novel za Mills and Booms hayaapply kwenye ulimwengu huu wa mapenzi ya Karne ya 21?
kinachofanya nikuheshim ni mabandiko yako tu, na hata nikichangia mabandiko yako sigara inabidi niweke pembeni. yaani kama umepewa ufunuo uwe unaanzisha sredi ninazozipenda na kuziheshimu.

bek to ze topik: Mimi tafsiri yangu ya neno love ni laziima iwe na facts mbili kwanza "hisia", pili "tathmini". unaposema kwamba umependa mwanaume ambae haujui atakuhudumia au atamhudumia vipi mtoto wako kimaisha nadhani umependa kwa "hisia" tu na "tathmini" hakuna,so penzi linakosa "thamani" na "misingi madhubuti", hivyo katika kipindi cha kuchokana ni rahisi sana haya mahusiano kufa. naweza kuwa niko wrong
 
kinachofanya nikuheshim ni mabandiko yako tu, na hata nikichangia mabandiko yako sigara inabidi niweke pembeni. yaani kama umepewa ufunuo uwe unaanzisha sredi ninazozipenda na kuziheshimu.

bek to ze topik: Mimi tafsiri yangu ya neno love ni laziima iwe na facts mbili kwanza "hisia", pili "tathmini". unaposema kwamba umependa mwanaume ambae haujui atakuhudumia au atamhudumia vipi mtoto wako kimaisha nadhani umependa kwa "hisia" tu na "tathmini" hakuna,so penzi linakosa "thamani" na "misingi madhubuti", hivyo katika kipindi cha kuchokana ni rahisi sana haya mahusiano kufa. naweza kuwa niko wrong
Aksante Klorokwini, kusema ukweli I do appreciate a lot.

Nadhani ninakupata vizuri but at the same time ninajifunza vitu vingi vipya.............haya kuprnda kwa hisia na kwa facts!............kwa jinsi ulivyoiweka hapo mydia Klorokwin ni kuwa hakuna biashara ya Love doesnt ask why wala ya love is blind.... we need to love with a purpose eh??
 
sikujua una busara kiasi hiki....duh,ushalobaro umewekwa pembeni sasa.....Kloro wa ukweli ndo huyu....mimi penda wewe zaidi!!!:focus:

Hata mimi nimeshangaa, kumbe siku nyingine anakuwa serious, na kutoa mapoint kwelikweli....:)

siamini ninachokisoma kutoka kwake leo.....Loliondo kwa Babu kunaleta mengi....soma hio post yake ya pili......ubarikiwe Kloro!!!:focus:
yaani nyinyi baada ya kuchangia sredi mnaleta habari za loliondo? kuweni serious bana. lol
 
Kama anafata mapenzi ya kweli haijalishi atayapata wapi, mimi kama mke ambae nina watoto ningependa mtoto wangu aishi na mume mwenye hali ya kawaida ili mradi hawafi njaa sababu nimeishi maisha yote ya kimasikini na kitajiri yale ya kimaskini ndio nilikuwa na raha zaidi hakuna mfano pesa ni adui na rafiki mkubwa wa binadamu kama ukimtumia vizuri.
Nitamwambia mwanangu aangalie penzi kama amependa aende tu kuolewa na ampendae future mungu atawapa humohumo
 
siamini ninachokisoma kutoka kwake leo.....Loliondo kwa Babu kunaleta mengi....soma hio post yake ya pili......ubarikiwe Kloro!!!:focus:

Yaani...huwezi amini kama huyo Klorokwin........nami naona ni mambo ya Loliondo......:focus:
 
Lazima waangalie kujua kwamba huko atakapoenda mwanao hatashindwa kuishi angalau maisha ya kawaida!Mtu ambae haonyeshi hata matarajio ya kufanya kitu huko mbele ni ngumu kumsukumia mwanao!

Lizzy my darling ninashukuru sana kwa hili bandiko yaani unanifanya niwaze zaidi (na akili yenyewe hii ya kuunga na mate, upepo ukipita kidogo yaganduka) itanibidi nipombe supergluu........................... so tunapaswa kuwajuza wenetu wasahau mambo ya ;But Mum/Dady I love him, it doesnt matter whether he is rich or poor.....).

Mbona kazi tunayo, sijui kama tutaeleweka maana wakishakutana huko kwenye mafacebook na matweeter, wakagandana kuwagandua nadhani itakuwa ngumu................any social worker au mtu mwenye elimu ya child psychology here...........atusaidie wajameni malezi ya sasa ni magumu kweli
 
Aksante Klorokwini, kusema ukweli I do appreciate a lot.

Nadhani ninakupata vizuri but at the same time ninajifunza vitu vingi vipya.............haya kuprnda kwa hisia na kwa facts!............kwa jinsi ulivyoiweka hapo mydia Klorokwin ni kuwa hakuna biashara ya Love doesnt ask why wala ya love is blind.... we need to love with a purpose eh??
nadhani hii inategemeana na mhusika namna anavyotafsiri neno "love", kama analitafsiri kihisia basi love inaweza kuwa blind lakini kama ni ile love ya reasoning kama ninayoiamini mimi basi hii milele haiwezi kuwa "blind" kwani inaanza na hisia lakini inabase kwenye analysis kabla conclusion. haya ni maoni yangu tu
 
Kama anafata mapenzi ya kweli haijalishi atayapata wapi, mimi kama mke ambae nina watoto ningependa mtoto wangu aishi na mume mwenye hali ya kawaida ili mradi hawafi njaa sababu nimeishi maisha yote ya kimasikini na kitajiri yale ya kimaskini ndio nilikuwa na raha zaidi hakuna mfano pesa ni adui na rafiki mkubwa wa binadamu kama ukimtumia vizuri.
Nitamwambia mwanangu aangalie penzi kama amependa aende tu kuolewa na ampendae future mungu atawapa humohumo


Aksante Gaga.....are you living with your hubby? I would like you to draw the experience you have with your hubby not the life experience you had when you were living with your parents.
Mchukulie mume kama kichwa cha familia ambacho kinatakiwa kutake care each anf everything kwa msaada wa mke................kwa MSAADA wa mke ..si mke ageuke awe kichwa. Kama mwanao anakujia anakwambia Mama ninataka kuolewa na flani (unajua kabisa hana mbele wala nyuma na/au career yake iko kwenye fani isiyokuwa) would you??
 
Lizzy my darling ninashukuru sana kwa hili bandiko yaani unanifanya niwaze zaidi (na akili yenyewe hii ya kuunga na mate, upepo ukipita kidogo yaganduka) itanibidi nipombe supergluu........................... so tunapaswa kuwajuza wenetu wasahau mambo ya ;But Mum/Dady I love him, it doesnt matter whether he is rich or poor.....).

Mbona kazi tunayo, sijui kama tutaeleweka maana wakishakutana huko kwenye mafacebook na matweeter, wakagandana kuwagandua nadhani itakuwa ngumu................any social worker au mtu mwenye elimu ya child psychology here...........atusaidie wajameni malezi ya sasa ni magumu kweli

Kwa kweli kulea ni kazi, lakini nafikiri tunapaswa kama wazazi kuongea na watoto wetu masuala ya maisha kwa ujumla! Na zaidi ya yote, kweli inatupasa kumwomba Mungu atupe hekima na atusaidie kwenye ulezi, na pia kuwaombea wasije wakaangukia mahali ambapo sipo penyewe! Maana ni kweli wakishachanganyikiwa na ma-love inaweza ikawa ngumu sana kuwaondoa!
 
MJ1 Inabidi tujifunze tofauti kati ya mtu asiyenacho kwasababu kakosa na mtu asiye na mwelekeo!Asiyenacho anaweza kutafuta..ila huyo mwingine ambae hata akisingiziwa pesa atakataa ni ngumu kumkabidhi mwanao!Na kwa maisha ya leo ambayo yanahitaji masenti na sio vijisenti kuendesha maisha ya kawaida tu huyo mtoto ambae hataelewa unamtakia mema anahitaji somo haswa!Anza kwa kutaka list ya matumizi yake na huyo mtu wake alafu utake kujua watayakidhi vipi!Majibu yake ndo yatatoa mwongozo wa pakuanzia
 
Back
Top Bottom