Manyanza
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 9,482
- 14,352
Hawa polisi sijui kwanini hawajifunzi kuwa makini wanapoenda kufanya 'raid'. Mimi nakumbuka nilishawahi kumtishia polisi mmoja na bastola ya toy, yaani alitoka nduki huyo utasema mwanamke anakimbia wabakaji.
Hawa polisi wetu, wanaweza kudhibiti waandamaji na sio majambazi