Mgao wa umeme umekua mwiba kwa wakazi wa Arusha,kwani inasadikika kuwa bidhaa ya sembe imekuwa adimu kwa sababu ya kukatika umeme kwenye vinu vya kampuni inayohusika na ukoboaji wa MAHINDI.........Maeneo ambayo bidhaa hiyo inakosekana ni kama vile Ngarenaro,Unga Ltd........Sosi:redio One