mie mbona niko arusha wala ulichoelezea hapo hakipo ? Au ndio umeamka usingizini mazeeee:lock1:
mi nipo arusha, ni kweli watu wengi wamevaa chadema sijui wewe uko arusha ipi kaka,
mie mbona niko arusha wala ulichoelezea hapo hakipo ? Au ndio umeamka usingizini mazeeee:lock1:
kumbe na cdm nao wanagawa kofia na tisheti kweli nyani haoni kundule
shamrashamra ni kubwa sana lkn hofu yangu kubwa ni jeee watapiga kura?maana vijana wengi hawana vitambulisho vya kura na wengine wako arumeru lkn walijiandikisha jimbo la arusha! Unajua kipindi kile watu walikuwa hawajawa na mwamko wa kisiasa kwa hivyo watu walijiandikisha sehemu yeyote ili mradi wapate kile kitambulisho!Mungu asaidie wale wenye vitambulisho wapate mwamko wa kweli wakapige kura.[/QUOTE
]
HUU NI UKWELI, NA SI IDADI NDOGO WALIOFANYA HIVYO
Hao ni washabiki sio wapiga kura . I feel sorry 4 u ndg zangu magwanda.