Ni hatari sana kwa kiongozi mkuu wa nchi kwa majungu amani ipi iloyo potea arusha na ameirudisha nani mbona anakuja na kuondoka kama mwizi hapa . Mi naona yeye mwenyewe na ccm yake ndio hawana amani apa arusha.
Kakulia uswahilini we huoni hata akiwa anazungumza jukwaani huwa anaweka vidole viwili juu sababu ameshazoea mipasho!!!!!