Arusha Politics: Why CHADEMA's popularity is waning...

ukiwaza, kufikiri na kutenda kwa lugha yako ni njema zaidi kuliko kuwaza, kufikiri na kutenda kwa lugha ya kigeni.
 
nashauri lema asifanye mkutano wowote pale NMC kwa sasa ari ya wananchi iko chini.kama unabisha utajikuta unapoteza washabiki wastaarabu kama vile wafanyakazi na wanafunzi wa vyuo badala yake utabakiwa na waendesha bodaboda ambao hawapigi kura.pumzika kwanza ili umalizane na kesi na upange mikakati ya maendeleo ya jimbo lako.

Lema ninayemjua hawezi kuukubali ushauri wa ......zi kama huu, anakubalika leo kuliko jana,Lema yuko viwango vya peke yake kwa siasa za TZ.
nenda kesho NMC ukashangae!! ni kweli kuna wafanyakazi watakosa fursa ya kuhudhuria lakini sio kwa sababu hawamuungi mkono ila ni kwa sababu ya uaminifu wao kwa majukumu waliyokabidhiwa na ofisi zao. Kipimo kingine subiri kata nne hizo ndo uje na comment zako
 
we hate ccm more than we hate chadema...........but it is frustrating to see the lack of brain power in Chadema too...................in ccm there is a glut of consumption curses...................wamevimbiwa lakini hawako tayari kuachia ngazi na ulaji......................shame upon their wicked souls.................but Chadema instead of seizing the moment and show it is the party ready to lead.........................it takes us back to demonstrations...........................when are we going to get back to work.......................................without sustainable productivity this country is heading to a civil war............................and nobody gains there..........................

sorry Mr Ruta nitachangia kwa Kikwetu ili nieleweke vyema si kwa sababu english is not reachable its somehow reachable.
Unajikanyaga sana kwenye michango yako ili uweze kuwawin maUndecided humu ndani....mbinu yako siyo mbaya sana utawapata mapoyoyo kadhaa. mi natokea sehemu ambayo tunapasua mbao sana, i mean hiyo ndo ajira kuu ya vijana wa huko.....ukiona unapasua kwa nguvu sana na gogo haliendi na unakata kwa nguvu halikatiki basi unatenga siku maalumu kwa ajili ya kwenda kunoa Msumeno na Shoka ili ukirudi nguvu unayotumia pale iendane na matokeo unayoyatarajia.....right?
Mazingira ya kisiasa Arusha yameharibiwa na CCM na ni lazima yarekebishwe ili mambo yaweze kwenda sawa(leo nimesoma gazeti lenu moja la pale sinza) kuna habari kuwa Mkuu wa wilaya Rorya na Mkurugenzi na mwenyekiti wa halmashauri wamezuia mradi wa kuwapa maji safi watu wa shirati eti kwa sababu diwani wao ni wa CDM!!waziri mkuu ameenda ameagiza mradi huo utekelezwe ila wao wameuhold eti CDM watajidai na kufaidia sana..wao leo wapo tayari wananchi wafe ili mradi CDM ikome...na huo mfumo wenu ni wa hovyo sijawahi kuona, PM anaagiza DC anakuja kusimamisha!!! what a shame!!!

Mh Lema ananoa msumeno na Shoka!!!!! akimaliza Arusha itabadilika mapema sana na mtashangaa!! arusha sio sawa na Dodoma au Tabora kule kuna vitega Uchumi vya nguvu na vikipata meya mwadilifu akasaidiana na Mbunge vitamultiply mapato na hivyo kuliendeleza jiji kwa kasi.
 
Maneno mazito sana mkuu wangu.Tatizo hapa JF wapo wanaukumbi wameweka ushabiki mbele hawataki kuangalia hali halisi hakuna ubishi wananchi wengi hasa wafanyakazi wa kada mbali mbali wameanza kuhoji kama ilikuwa busara kumchagua mbunge Mheshimiwa Lema.Siasa za vurugu na magomvi yasiyoisha imekuwa sehemu ya utaratibu wa wakazi wa Arusha.



Una maana kwamba Lema ndiye mwenye kuendesha siasa za vurugu? Nani walioanza vurugu kama sio CCM, walipomkamata Lema na kumtoa kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Manispaa ya Arusha, wakati wa uchaguzi wa Meya, mwaka jana, ambapo meya huyo alichaguliwa na madiwani wa CHAMA KIMOJA TU, kinyume cha sheria? Au huna habari kwamba Lema alikamatwa na polisi na kuondolewa kwenye ukumbi huo kinyume cha sheria? Ukitaka kumkamata Mbunge akiwa kazini, unapaswa kupata kibali kutoka kwa Spika! Polisi hawakuwa na kibali. Je, angekuwa Mbunge wa CCM wangemkamta?
 
Kimsingi hali ya Arusha ni tete,na UTETE wake umesababishwa na serikali kutowajibika,na kwa makusudi kabisa kupuuzia malalamiko ya msingi,na kushindwa kuchukua uamuzi stahiki,kwa wakati stahiki,matokeo ya UHUNI wa serikali ndio haya yanayoonekana sasa,
Kuna kosa gani kwa Mbunge kutembea kwa mguu kwenye Jimbo lake?
Ngongo wewe unachangia kwa ushabiki na kwa chuki yako binafsi Juu ya CHADEMA na viongozi wake,hakuna kiongozi yeyote wala mwanachama yeyote anayemlipa yeyote ili aende Kisongo au mahakamani,utaratibu huo ni utamaduni wa ccm,kamwe si CHADEMA,
Alichokifanya Lema amekieleza kwa kiswahili rahisi kwenye waraka alioutoa,mwenye kutaka kuelewa ataelewa
Swala la siasa za vurugu Arusha,linasababishwa na polisi period.Nyote ni mashahidi tarehe 12 Jan 2011 wakati wa Kuwaaga mashujaa wetu waliuwawa na polisi pale NMC tulijilinda wenyewe na hakuna vurugu yoyote ilitokea.
Kimsingi hali ya Arusha inawezakuwa mbaya kama serikali itashindwa kuchukua maamuzi
 
Huna lolote,
Kiengereza chenyewe "so that kibao",
tense zenyewe hazieleweki,
Hueleweki unazungumzia past au future,
Umoja au wingi,
Chukua time huko!!!
 
politriks thats it sidhani kama lema anjiingiza kwenye haya malumbano na polisi kwa hiari yake hiki ndicho ambacho CCM wanakitaka
wakomae nao hawa jamaa mpaka kwenye hii extent na sidhani kama Lema anaamua tu kulumbana na hawa jamaa ila naamini polisi ndio wanaomuandama huyu muheshimiwa ili ashindwe hata kufocus na ndicho ccm inchawafanya hawa wapinzani kuwasumbua ili wasiwe focused
and fighting this battle needs someone with big heart and well skilled this is the situation the oppositions are in......
 
Mh Lema ananoa msumeno na Shoka!!!!! akimaliza Arusha itabadilika mapema sana na mtashangaa!! arusha sio sawa na Dodoma au Tabora kule kuna vitega Uchumi vya nguvu na vikipata meya mwadilifu akasaidiana na Mbunge vitamultiply mapato na hivyo kuliendeleza jiji kwa kasi.

hii ni karne ya 21.........................ambayo inahitaji kuwa msikivu...........................uongozi siyo kuburuta watu utakavyo ila kuwauliza wanataka uwapeleke wapi?
 
politriks thats it sidhani kama lema anjiingiza kwenye haya malumbano na polisi kwa hiari yake hiki ndicho ambacho CCM wanakitaka
wakomae nao hawa jamaa mpaka kwenye hii extent na sidhani kama Lema anaamua tu kulumbana na hawa jamaa ila naamini polisi ndio wanaomuandama huyu muheshimiwa ili ashindwe hata kufocus na ndicho ccm inchawafanya hawa wapinzani kuwasumbua ili wasiwe focused
and fighting this battle needs someone with big heart and well skilled this is the situation the oppositions are in......

Lema hajiheshimu.......................ukweli ni kuwa ujiheshimu jamii itakuheshimu pia...........
 
Kimsingi hali ya Arusha ni tete,na UTETE wake umesababishwa na serikali kutowajibika,na kwa makusudi kabisa kupuuzia malalamiko ya msingi,na kushindwa kuchukua uamuzi stahiki,kwa wakati stahiki,matokeo ya UHUNI wa serikali ndio haya yanayoonekana sasa,
Kuna kosa gani kwa Mbunge kutembea kwa mguu kwenye Jimbo lake?
Ngongo wewe unachangia kwa ushabiki na kwa chuki yako binafsi Juu ya CHADEMA na viongozi wake,hakuna kiongozi yeyote wala mwanachama yeyote anayemlipa yeyote ili aende Kisongo au mahakamani,utaratibu huo ni utamaduni wa ccm,kamwe si CHADEMA,
Alichokifanya Lema amekieleza kwa kiswahili rahisi kwenye waraka alioutoa,mwenye kutaka kuelewa ataelewa
Swala la siasa za vurugu Arusha,linasababishwa na polisi period.Nyote ni mashahidi tarehe 12 Jan 2011 wakati wa Kuwaaga mashujaa wetu waliuwawa na polisi pale NMC tulijilinda wenyewe na hakuna vurugu yoyote ilitokea.
Kimsingi hali ya Arusha inawezakuwa mbaya kama serikali itashindwa kuchukua maamuzi

mwisho wa yote lema itbidi atueleze kazi ya kulambana na polisi ndiyo tuliyomtuma aende nayo kule bungeni..............................nionavyo hana ujuzi kwa kazi ya ubunge na kuwakilisha watu.................................matatizo yetu yanahitaji utaalamu na wala siyo malumbano ukionewa hutafuti suluhu kwa kutumia mjeledi wa mob justice bali unakwenda mahakamani kudai haki.............
 
"....his fellow tribesmen of Chagga....." This social network is for great thinkers. But I doubt your thinking faculty. May be your grey matter has turned into flesh!
Your thinking is divisive and very dangerous.


chaguzi za Arusha ni za kabila la wachaga tu...........angalia wabunge wote after nyerere in 1995 hadi leo .................angalia madiwani asilimia kubwa inatoka wapi................................facts sometimes can be very dangerous...........................because they expose the truth and only the truth can set us free..............
 
chaguzi za Arusha ni za kabila la wachaga tu...........angalia wabunge wote after nyerere in 1995 hadi leo .................angalia madiwani asilimia kubwa inatoka wapi................................facts sometimes can be very dangerous...........................because they expose the truth and only the truth can set us free..............

Rutashubanyuma kama wakazi wa Arusha unataka nani agombee?Naanza kupata wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri
 
Mkuu Rutashubanyuma, you wrote so much and so many illusive things. Of all I liked one sensible phrase "that is how I feel what about you? " I believe you didn't do any investigation to jot down the conclusion about CHADEMA or any other opposition political party in Arusha municipality. Let's wait and see, the ballot box will tell when the moment comes.
Yap! Too many words,bored!
 
Una maana kwamba Lema ndiye mwenye kuendesha siasa za vurugu? Nani walioanza vurugu kama sio CCM, walipomkamata Lema na kumtoa kwenye ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Manispaa ya Arusha, wakati wa uchaguzi wa Meya, mwaka jana, ambapo meya huyo alichaguliwa na madiwani wa CHAMA KIMOJA TU, kinyume cha sheria? Au huna habari kwamba Lema alikamatwa na polisi na kuondolewa kwenye ukumbi huo kinyume cha sheria? Ukitaka kumkamata Mbunge akiwa kazini, unapaswa kupata kibali kutoka kwa Spika! Polisi hawakuwa na kibali. Je, angekuwa Mbunge wa CCM wangemkamta?
Si kweli. Alimsimamisha mgombea umeya kinyume cha utaratibu, akaambiwa aondoke kwenye kikao akakataa, pale siyo bungeni kwa hiyo uki resist arrest una mashtaka ya kujibu.
 
wee rutashubanyuma, acha kujifagilia. hukumtuma lema hata kidogo, acha kujifanya mmojawapo wa wapenda maendeleo, haki, na utu wa mtu, we ni mpenda magamba na ufisadi tu, acha sisi tulomtuma kututetea tumpe sapoti. Wee endelea na magamba yako.
 
Rutashubanyuma kama wakazi wa Arusha unataka nani agombee?Naanza kupata wasiwasi na uwezo wako wa kufikiri

yaelekea lema is your god............I am glad he is not mine....................
 
wee rutashubanyuma, acha kujifagilia. hukumtuma lema hata kidogo, acha kujifanya mmojawapo wa wapenda maendeleo, haki, na utu wa mtu, we ni mpenda magamba na ufisadi tu, acha sisi tulomtuma kututetea tumpe sapoti. Wee endelea na magamba yako.

tetea ujinga hadi hapo utakapokutafuna.................
 
it's true you have thought a lot and some things look true but who are the majority of the people in arusha can they reason the way you reason?and if not chadema then what other party, cause all chadema has done in arusha is to show its power against ccm which also the way it has reacted is extremely silly, i believe chadema stands a greater chance than ccm, and people weigh apart from the rallies is there any development?and also it depends on the candidates as well because not all the people in ccm party are crooks so its not all about the party issue its about candidates as well so each party need serious people. this my view but im glad the fear that exist in tanzanian,people in arusha have shown that it can be overcomed by choosing chadema and the government wasting time fighting them but later giving in to chadema , if i could be the government i would accept the loss and try hard with the few i have to win back the trust of people for example our president could take a cheap popularity by firing the guy who called his citizens rats, then at least people in arusha could easily see the government is concerned,

the government need to look for every opportunity to take arusha back in 2015 but wisely.
Una elimu gani mbona reasoning yako ndogo hivyo? The govt need to look for................................................Kwani hiyo serikali nadhani ulimaanisha CCM wameishika Arusha miaka mingapi na maendeleo yapoje?
 
nanyaro nakusihi acha kutembelea kijiwe cha philips pekee,hutaweza kusoma mwenendo wa mambo!tembelea maofisi ya serikali na wafanyabiashara ili upate views zao.kuchukia maoni ya ruta haitawasaidia nendeni mkamshauri lema awe mpole ili awateke wastaarabu wa arusha.
 
Back
Top Bottom