Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Nimeamua kuanzisha thread inayohusu kampeni ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo wilaya ya Arusha mjini inayo julikana kama "Oparesheni zika CCM jenga Chadema" ambayo mpaka sasa wameshafanya mikutano kwenye kata tatu kati ya kumi na tisa na siku ya leo watakuwa kata ya Daraja mbili. Pamoja na kukusanya kero mbalimbali zilizoko kwa wananchi pia Oparesheni hii nikujenga chama...Mikutano hii imekuwa na mahudhurio makubwa sana hii inaonyesha wananchi wa Arusha wanaimani kubwa sana na CHADEMA.
Tuendelee kujuzana kitakachokuwa kinatokea kwenye mzunguko wa kata zote 19.
Akizungumzia ahadi zake alisema pamoja na kubambikiwa kesi kila kukicha lakini yote ameweza kuya mudu yaaani kesi + majukumu ya kibunge
• Anasomesha watoto zadi ya 430
• Trekta 1 ambalo walilitumia kulima heka 35 liwapate chakula cha watu ambayo hawajiwezi ..
• Uwanja wa zaidi ya milioni mia nne umesha patikana huko Burka ambako ndiyo hospitali aliyo ahidi itajengwa ikiwa ni moja ya ahadi zake kuu mbili yaani Hospital na Machinga Complex
Pia alizungumziajuhudi zake za kuzuia General Tyre isiunzwe ambayo kwasasa inategemewa kuanza kufanya kazi tena Mei, katika kamati iliyoundwa ya kufatilia shirika hilo mhimu kabisa kwa maendelea ya nchi hii Lema alisema walikuta ufisadi wa kutisha akatoa mfano kuwa kuna gari liliuzwa kwa US$ 100 na mkurugenzi alitumia million 200 kwenda kupumzika na familia yake kwenye mbuga za wanyama……
===
View attachment 45211
Baada ya jana kufunika kwenye kata ya daraja mbili operesheni zika CCM, Jenga CHADEMA leo ni zamu ya kata ya Olorien ambako ndiko anakotoka Meya wa kichina.....
Tuendelee kujuzana kitakachokuwa kinatokea kwenye mzunguko wa kata zote 19.
View attachment 45110View attachment 45111View attachment 45112
Picha wakazi wa kata ya Kimandolu wakifatilia mkutano chadema
========Picha wakazi wa kata ya Kimandolu wakifatilia mkutano chadema
Akizungumzia ahadi zake alisema pamoja na kubambikiwa kesi kila kukicha lakini yote ameweza kuya mudu yaaani kesi + majukumu ya kibunge
• Anasomesha watoto zadi ya 430
• Trekta 1 ambalo walilitumia kulima heka 35 liwapate chakula cha watu ambayo hawajiwezi ..
• Uwanja wa zaidi ya milioni mia nne umesha patikana huko Burka ambako ndiyo hospitali aliyo ahidi itajengwa ikiwa ni moja ya ahadi zake kuu mbili yaani Hospital na Machinga Complex
Pia alizungumziajuhudi zake za kuzuia General Tyre isiunzwe ambayo kwasasa inategemewa kuanza kufanya kazi tena Mei, katika kamati iliyoundwa ya kufatilia shirika hilo mhimu kabisa kwa maendelea ya nchi hii Lema alisema walikuta ufisadi wa kutisha akatoa mfano kuwa kuna gari liliuzwa kwa US$ 100 na mkurugenzi alitumia million 200 kwenda kupumzika na familia yake kwenye mbuga za wanyama……
===
========Ratiba
Tarehe 12.1.2012 Themi
Tarehe 13.1.2012 Olorien
Tarehe 14.1.2012. Olasit
Tarehe 15.1.2012. Terati
View attachment 45211
Baada ya jana kufunika kwenye kata ya daraja mbili operesheni zika CCM, Jenga CHADEMA leo ni zamu ya kata ya Olorien ambako ndiko anakotoka Meya wa kichina.....