ARUSHA.......... Ntarudi tena wallah!!!!!

Ehhh Babu kweli siku hizi una roho mbaya yaani umefika Arusha ukashindwa kuja kuniona Karatu??? siamini
 
Ile ban nlojipiga,
Nkaenda zangu Arusha,
Nkakutana na Preta,
Sweetlady Wiselady,
Lily Flower na nani?
Blaki Womani mweupe

Arusha ntarudi tena walah........

Nikanywa na PakaJimmy
Liverpool na Filipo,
Mzee Wa Rula Pembeni
Voice of Reason ikaja

Na mwingine nani tena? Hivi nimesema binamu?

MTK bar na Mianzini
RIP Makaburini,
Shivaz na Picnickini
Kijenge Kaizarini
Kwa Mromboo hatarini.....

Na kwingine wapi tena? Sijasema tripo Ei?

Nikilila tena ban. nikapata na nauli,
Kamwe siendi nyumbani, na kitandani silali.

Arusha nitarudi, nrarudi tena wallah.

Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Mungu ibariki Arusha.
Wabariki na watu wake.
Amina.

ODM anarudi kitandani kuzimua

Yaani hao warembo wote kumbe wanapatikana Arusha!? Dah! Itabidi nifunge safari rasmi ya kwenda Arusha, nianzie Moshi kwanza kwa Nyamayao laazizi, namchukua twaenda wote Arusha.

Safari hii itakuwa imedhaminiwa na TBL, Konyagi, SBL, Heineken na Chibuku.
 
Kaizer, ungeikandamizia hii komenti yako kwa kubadili avatar yako japo kwa mwezi huu ili usiwakwaze wenye swaumu zao!

hahaha sasa apo una utani na wapare....Mkuu Masaki si unajua inabidi tusisahau sahau kabisa...
 
Back
Top Bottom