samora10
JF-Expert Member
- Jul 21, 2010
- 7,594
- 4,798
Preta nasoma katikati ya mistari ngoja nipeleke taarifa kwa mchungaji na shemeji
halafu wewe! huko mkatikati ya mistari unatafuta nini? lol
Preta nasoma katikati ya mistari ngoja nipeleke taarifa kwa mchungaji na shemeji
...............jisachi!!Wivu unaniwasha aisee.
<br />Mkuu...habari yako binafsi? Na wewe unapatikana Arusha???
unanguvu gani wewe kusukuma basi..........we sema hupajui Arusha unatumia mgongo wa babu
karibu kiongozi wangu,...mzima lakn
mzima sana kiongozi...aisee..loner ako wapi nina ujumbe wake...
halafu kuna watu wanataja bia mchana huu......hivi mmesahau watu wamefunga?
halafu wewe! huko mkatikati ya mistari unatafuta nini? lol
halafu kuna watu wanataja bia mchana huu......hivi mmesahau watu wamefunga?
Ile ban nlojipiga,
Nkaenda zangu Arusha,
Nkakutana na Preta,
Sweetlady Wiselady,
Lily Flower na nani?
Blaki Womani mweupe
Arusha ntarudi tena walah........
Nikanywa na PakaJimmy
Liverpool na Filipo,
Mzee Wa Rula Pembeni
Voice of Reason ikaja
Na mwingine nani tena? Hivi nimesema binamu?
MTK bar na Mianzini
RIP Makaburini,
Shivaz na Picnickini
Kijenge Kaizarini
Kwa Mromboo hatarini.....
Na kwingine wapi tena? Sijasema tripo Ei?
Nikilila tena ban. nikapata na nauli,
Kamwe siendi nyumbani, na kitandani silali.
Arusha nitarudi, nrarudi tena wallah.
Ahsanteni kwa kunisikiliza.
Mungu ibariki Arusha.
Wabariki na watu wake.
Amina.
ODM anarudi kitandani kuzimua
Kaizer, ungeikandamizia hii komenti yako kwa kubadili avatar yako japo kwa mwezi huu ili usiwakwaze wenye swaumu zao!
halafu wewe! huko mkatikati ya mistari unatafuta nini? lol
Dah... mzee wa memkwa nimebaki man alone.... itabidi nikodi jeshi niende huko wikendi moja kabla ya mwisho wa dunia