Ronn M
JF-Expert Member
- May 2, 2012
- 1,279
- 683
Arusha ni njema jamani! I love the City. Kwanza nimesoma Ilboru A level, so I know it. Sasa nimekuja kwa programu fupi
tuu ya wikiendi hii. Nimekulaje mishkaki! Hii barabara ya Nairobi (kambi ya fisi) chini kidogo ya technical kuna mzee
anapika mishkaki ya ukweli. 300/= tuu! But imagine mtu anakula 20 chap chap. Sasa wadada na wamama wanakuja peke
yao (sijui waume/mabwana zao wakwapi!) Yaani hii mishkaki nyama za kwa mromboo hazioni ndani.
Na nimefurahi sana barabara zote za mitaani ambazo zilikuwa za vumbi sasa wameweka na wanaendelea kuweka lami.
What a lovely town! I love it! Taarifa ziwafikie YNNAH, Erickb52, Filipo, PakaJimmy, daudi, fabinyo,
Mungi, LiverpoolFC marejesho, Jackbauer na matwi kuwa nipo Arusha japo kwa siku mbili! Hebu nishaurini
kahotel kazuri kakufanyia honeymoon na my sweetie lilito jeneneke! Halafu mnipe na nyingine kwa ajili ya mzee
mzima Kaizer na mpenziwe gfsonwin wajikumbushie enzi zao! Pole Bishanga bukoba mna nini cha kujivunia zaidi
ya senene!
tuu ya wikiendi hii. Nimekulaje mishkaki! Hii barabara ya Nairobi (kambi ya fisi) chini kidogo ya technical kuna mzee
anapika mishkaki ya ukweli. 300/= tuu! But imagine mtu anakula 20 chap chap. Sasa wadada na wamama wanakuja peke
yao (sijui waume/mabwana zao wakwapi!) Yaani hii mishkaki nyama za kwa mromboo hazioni ndani.
Na nimefurahi sana barabara zote za mitaani ambazo zilikuwa za vumbi sasa wameweka na wanaendelea kuweka lami.
What a lovely town! I love it! Taarifa ziwafikie YNNAH, Erickb52, Filipo, PakaJimmy, daudi, fabinyo,
Mungi, LiverpoolFC marejesho, Jackbauer na matwi kuwa nipo Arusha japo kwa siku mbili! Hebu nishaurini
kahotel kazuri kakufanyia honeymoon na my sweetie lilito jeneneke! Halafu mnipe na nyingine kwa ajili ya mzee
mzima Kaizer na mpenziwe gfsonwin wajikumbushie enzi zao! Pole Bishanga bukoba mna nini cha kujivunia zaidi
ya senene!
Last edited by a moderator: