Arusha ni njema (nimekulaje nyama!!??)! Kila atakae na aje!

Ronn M

JF-Expert Member
May 2, 2012
1,279
683
Arusha ni njema jamani! I love the City. Kwanza nimesoma Ilboru A level, so I know it. Sasa nimekuja kwa programu fupi

tuu ya wikiendi hii. Nimekulaje mishkaki! Hii barabara ya Nairobi (kambi ya fisi) chini kidogo ya technical kuna mzee

anapika mishkaki ya ukweli. 300/= tuu! But imagine mtu anakula 20 chap chap. Sasa wadada na wamama wanakuja peke

yao (sijui waume/mabwana zao wakwapi!) Yaani hii mishkaki nyama za kwa mromboo hazioni ndani.

Na nimefurahi sana barabara zote za mitaani ambazo zilikuwa za vumbi sasa wameweka na wanaendelea kuweka lami.

What a lovely town! I love it! Taarifa ziwafikie YNNAH, Erickb52, Filipo, PakaJimmy, daudi, fabinyo,
Mungi, LiverpoolFC marejesho, Jackbauer na matwi kuwa nipo Arusha japo kwa siku mbili! Hebu nishaurini

kahotel kazuri kakufanyia honeymoon na my sweetie lilito jeneneke! Halafu mnipe na nyingine kwa ajili ya mzee

mzima Kaizer na mpenziwe gfsonwin wajikumbushie enzi zao! Pole Bishanga bukoba mna nini cha kujivunia zaidi

ya senene!
 
Last edited by a moderator:
Pita pale The African Tulip, ipo Serengeti road. Hutajuta. Picha hizi hapa

night-view-of-hotel.jpg


the-african-tulip-hotel.jpg


dining-area.jpg


filename-20120216-001c.jpg


filename-african-tulip.jpg


bathroom.jpg
 
aritoine, ahsante. Seriously nimeiweka maanani. Nitaifuatilia
 
Last edited by a moderator:
Ila cheki na mfuko wako. There are so many lodges here in town, uwezo wako tu. Ila kwa sababu wewe ni Ilborian mwenzangu, I recommend The African Tulip. I like this place bana..

Dah, kumbe umemaliza pale! Big up kaka watu waliomaliza pale huwa wanapata neema sana ya kufika mbali. Mfuko inaweza isiwe shida sana maana si kitu cha kila siku! Mara moja moja kwa mapumziko
 
Naam Ronn M!! Mambo vp Kamanda?? Uko cha wapi majira haya?? Je? Huduma ya lazima ya kimalazi umeshapata mpaka majira haya? Hebu nijuze hilo kama upo on line Kamanda!

Arusha ni njema jamani! I love the City. Kwanza nimesoma Ilboru A level, so I know it. Sasa nimekuja kwa programu fupi

tuu ya wikiendi hii. Nimekulaje mishkaki! Hii barabara ya Nairobi (kambi ya fisi) chini kidogo ya technical kuna mzee

anapika mishkaki ya ukweli. 300/= tuu! But imagine mtu anakula 20 chap chap. Sasa wadada na wamama wanakuja peke

yao (sijui waume/mabwana zao wakwapi!) Yaani hii mishkaki nyama za kwa mromboo hazioni ndani.

Na nimefurahi sana barabara zote za mitaani ambazo zilikuwa za vumbi sasa wameweka na wanaendelea kuweka lami.

What a lovely town! I love it! Taarifa ziwafikie YNNAH, Erickb52, Filipo, PakaJimmy, daudi, fabinyo,
Mungi, LiverpoolFC marejesho, Jackbauer na matwi kuwa nipo Arusha japo kwa siku mbili! Hebu nishaurini

kahotel kazuri kakufanyia honeymoon na my sweetie lilito jeneneke! Halafu mnipe na nyingine kwa ajili ya mzee

mzima Kaizer na mpenziwe gfsonwin wajikumbushie enzi zao! Pole Bishanga bukoba mna nini cha kujivunia zaidi

ya senene!
 
Last edited by a moderator:
Naam Ronn M!! Mambo vp Kamanda?? Uko cha wapi majira haya?? Je? Huduma ya lazima ya kimalazi umeshapata mpaka majira haya? Hebu nijuze hilo kama upo on line Kamanda!

Nipo maeneo ya Nairobi road hapa karibu na Technical! Nimeshapata malazi mkuu, hapa ni nyumbani Dar tunakaa as a matter of necessity
 
Arusha ni kwere...
Ukipita maeneo ya palace hotel unahisi kama upo Ulaya ndogo aisee....full uzuri, mandhari inavutia pamoja na garden ya ukweli..
 
Arusha ni njema jamani! I love the City. Kwanza nimesoma Ilboru A level, so I know it. Sasa nimekuja kwa programu fupi

tuu ya wikiendi hii. Nimekulaje mishkaki! Hii barabara ya Nairobi (kambi ya fisi) chini kidogo ya technical kuna mzee

anapika mishkaki ya ukweli. 300/= tuu! But imagine mtu anakula 20 chap chap. Sasa wadada na wamama wanakuja peke

yao (sijui waume/mabwana zao wakwapi!) Yaani hii mishkaki nyama za kwa mromboo hazioni ndani.

Na nimefurahi sana barabara zote za mitaani ambazo zilikuwa za vumbi sasa wameweka na wanaendelea kuweka lami.

What a lovely town! I love it! Taarifa ziwafikie YNNAH, Erickb52, Filipo, PakaJimmy, daudi, fabinyo,
Mungi, LiverpoolFC marejesho, Jackbauer na matwi kuwa nipo Arusha japo kwa siku mbili! Hebu nishaurini

kahotel kazuri kakufanyia honeymoon na my sweetie lilito jeneneke! Halafu mnipe na nyingine kwa ajili ya mzee

mzima Kaizer na mpenziwe gfsonwin wajikumbushie enzi zao! Pole Bishanga bukoba mna nini cha kujivunia zaidi

ya senene!

Nakuja na mie kuchukua cheti changu Ilboru jumatatu.
 
Last edited by a moderator:
Arusha ni njema jamani! I love the City. Kwanza nimesoma Ilboru A level, so I know it. Sasa nimekuja kwa programu fupi

tuu ya wikiendi hii. Nimekulaje mishkaki! Hii barabara ya Nairobi (kambi ya fisi) chini kidogo ya technical kuna mzee

anapika mishkaki ya ukweli. 300/= tuu! But imagine mtu anakula 20 chap chap. Sasa wadada na wamama wanakuja peke

yao (sijui waume/mabwana zao wakwapi!) Yaani hii mishkaki nyama za kwa mromboo hazioni ndani.

Na nimefurahi sana barabara zote za mitaani ambazo zilikuwa za vumbi sasa wameweka na wanaendelea kuweka lami.

What a lovely town! I love it! Taarifa ziwafikie YNNAH, Erickb52, Filipo, PakaJimmy, daudi, fabinyo,
Mungi, LiverpoolFC marejesho, Jackbauer na matwi kuwa nipo Arusha japo kwa siku mbili! Hebu nishaurini

kahotel kazuri kakufanyia honeymoon na my sweetie lilito jeneneke! Halafu mnipe na nyingine kwa ajili ya mzee

mzima Kaizer na mpenziwe gfsonwin wajikumbushie enzi zao! Pole Bishanga bukoba mna nini cha kujivunia zaidi

ya senene!

Mkuu Ronn M hapo ni Narok Pub! Mi sijawahi kupitwa na uzinduzi wa baa mpya hapa mjini
 
Last edited by a moderator:
jombaaa.....huko unakokwenda kula mshikaki.....kuna idadi kubwa sana ya ajali za mbwa barabarani....ukianza kubweka....usiseme sikukuonya......utafrahii....

Kama mbwa ndo watamu namna ile, Baaaaaaaaaaaaaasi! Liwalo na Liwe! Ngoja jioni nikapige mingine ya idadi isiyohesabika fasta!
 
Kama mbwa ndo watamu namna ile, Baaaaaaaaaaaaaasi! Liwalo na Liwe! Ngoja jioni nikapige mingine ya idadi isiyohesabika fasta!

halafu na fisi wanafugwa ule mtaa.....lakini hiyo ni spesho oda.....
 
halafu na fisi wanafugwa ule mtaa.....lakini hiyo ni spesho oda.....

Ndio maana wakapaita kambi ya fisi? Halafu nasikia fisi watamu kama nyama ya kiuno! Wayajua hayo wewe?
 
Mkuu naona sifa zako za kipekee! Mie pombe sigusi kabisaa. Yaani sijawahi kuonja! Mtu wa fanta mimi Lol

Mkuu mimi kwa kuchanganya we acha tu, usiogope we nitafute ujue jinsi nnavyochanganya mavinywaji.. kiroba twende, konyagi twende, banana twende yaani pombe zote na mimi ni damdam
 
Back
Top Bottom