kuna nyingi kiboko sasa sijui utapendelea ipi . Kuna za usa ,cz , ubelgiji , rusia na israel.
Wewe pumbavu kwanini unaongelea wengine? heti huku dar watu hawatembei na silaha, wewe unafikiri zinatundikwa kwenye suruali kama simu, uliza uambiwe huku ndo balaa, wabunge wote wanabeba, makatibu wakuu ndo usisema mawaziri mpaka watoto wao.
Mi nilikuwa baa na washikaji wakati natoa bill si ikaonekana yakwangu, nikaificha faster washikaji wakacheka ni ka wauliza kunani, bwana wewe kumbe kila mmoja kabeba lakwake, kulikuwa na mademu wawili watoto wa vigogo fulani nao wanavyao vidogo vidogo, nikajiona wajuuuzi.
Wewe pumbavu kwanini unaongelea wengine? heti huku dar watu hawatembei na silaha, wewe unafikiri zinatundikwa kwenye suruali kama simu, uliza uambiwe huku ndo balaa, wabunge wote wanabeba, makatibu wakuu ndo usisema mawaziri mpaka watoto wao.
Mi nilikuwa baa na washikaji wakati natoa bill si ikaonekana yakwangu, nikaificha faster washikaji wakacheka ni ka wauliza kunani, bwana wewe kumbe kila mmoja kabeba lakwake, kulikuwa na mademu wawili watoto wa vigogo fulani nao wanavyao vidogo vidogo, nikajiona wajuuuzi.
Jamani huku Arusha karibu kila kijana mwenye maisha mazuri kiasi anamiliki bastola . Sijui kama kuna mkoa watu wanamiliki silaha kama huu . Ni kwanini inakuwa hivi ? Nipe sababu zako.
Mkuu AKs zipo nyingi sana Ruvuma. Sijui siku hizi.Inamaana AK 47 kuimiliki huko ni kawaida?ss likitokea twimbwili na askari si wanaweza kimbia?
Wewe pumbavu kwanini unaongelea wengine? heti huku dar watu hawatembei na silaha, wewe unafikiri zinatundikwa kwenye suruali kama simu, uliza uambiwe huku ndo balaa, wabunge wote wanabeba, makatibu wakuu ndo usisema mawaziri mpaka watoto wao.
Mi nilikuwa baa na washikaji wakati natoa bill si ikaonekana yakwangu, nikaificha faster washikaji wakacheka ni ka wauliza kunani, bwana wewe kumbe kila mmoja kabeba lakwake, kulikuwa na mademu wawili watoto wa vigogo fulani nao wanavyao vidogo vidogo, nikajiona wajuuuzi.