Arusha morden school yauzwa bilion 4 kwa kanisa katoliki.

Alvin Slain

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
6,375
3,654
Shule inayofahamika sana mjini arusha kama arusha morden school. iliyoko eneo la kisongo imeuzwa sh bilion 4 katika kanisa katoliki mkoani humo.akizungumza katika ibada ya misa takatifu katika kanisa la roho mt lililoko eneo la ngerenaro padre Ruwaich amesema !Tutanunua shule ya arusha morden kwa gharama ya sh bilion 4 eneo ambalo lina ukubwa wa ekari 25 na mpaka hiv sasa ekari 9 zimeshajengwa!
 
mkuu hii shule ilishauzwa siku nyingi na michango ya kuwalipa walio kuwa wamiliki ilianza mwaka jana hivyo hii siyo tetesi labda bei tulioinunulia sina uhakika na kiasi ulicho weka...tayari baadhi ya wanafunzi walishaanza kupelekwa edmund rice kwa kuwa kuna labs nzuri zaidi kwa wana funzi wa sayansi A level.
 
mkuu hii shule ilishauzwa siku nyingi na michango ya kuwalipa walio kuwa wamiliki ilianza mwaka jana hivyo hii siyo tetesi labda bei tulioinunulia sina uhakika na kiasi ulicho weka...tayari baadhi ya wanafunzi walishaanza kupelekwa edmund rice kwa kuwa kuna labs nzuri zaidi kwa wana funzi wa sayansi A level.[/QU hapana malipo ni tarehe 21
 
quote_icon.png
By hoyce

Bora hao wamenunua. Mkapa aligawa bure Chuo cha Tanesco Morogoro kwa waislam, sasa ni Chuo Kikuu cha Kiislam.

Umekosea, ni chuo cha Waislaam si cha Kiislaam.
 
Mbona sio tetesi hizo taarifa zipo wazi na kila anayemwamini mungu anaruhusiwa kuchangia hela kwenye ununuzi huo
 
kila muumini alichanga alfu ishirini,kanisa katoliki wana hela sana na hela zao sio kwamba zipo bank,hapana wakitaka hela kiasi chochote wanawaambia waumini wao tunataka kununua kitu flani na kila mtu anatakiwa kutoa kiasi flani mpaka watoto ulionao nao watatoa.serekali inahangaika na sensa alakini kanisa linaidadi ya watu wake na sensa ni kila siku,kwani kila akifa mtu wanataarifa na akizaliwa wanataarifa.kanisa lina ndege serekali haina ndege,chezea kanisa wewe,kwa taarifa nikua st joseph,au shule ya secondary ya faza babu inakaribia kua university ndio maana hiyo shule ikanunuliwa ku replace ile ya kwa padri babu.
 
kila muumini alichanga alfu ishirini,kanisa katoliki wana hela sana na hela zao sio kwamba zipo bank,hapana wakitaka hela kiasi chochote wanawaambia waumini wao tunataka kununua kitu flani na kila mtu anatakiwa kutoa kiasi flani mpaka watoto ulionao nao watatoa.serekali inahangaika na sensa alakini kanisa linaidadi ya watu wake na sensa ni kila siku,kwani kila akifa mtu wanataarifa na akizaliwa wanataarifa.kanisa lina ndege serekali haina ndege,chezea kanisa wewe,kwa taarifa nikua st joseph,au shule ya secondary ya faza babu inakaribia kua university ndio maana hiyo shule ikanunuliwa ku replace ile ya kwa padri babu.[/UKO ZAWA KABIZA!
 
mkuu hii shule ilishauzwa siku nyingi na michango ya kuwalipa walio kuwa wamiliki ilianza mwaka jana hivyo hii siyo tetesi labda bei tulioinunulia sina uhakika na kiasi ulicho weka...tayari baadhi ya wanafunzi walishaanza kupelekwa edmund rice kwa kuwa kuna labs nzuri zaidi kwa wana funzi wa sayansi A level.[/QU hapana malipo ni tarehe 21

lakini sisi kanisa letu tulianza kutoa michango tangu mwaka jana...
 
sasa ivi itakuwa chuo kikuu, ekari hizo zinatosha kabisa kuweka branch ya SAU au kujenga university mpyaaa, katoliki wanajitahidi sana, hawana upuuzi wa kuhangaika na kulalamikaa au kulalamika kugomea sensa....akili za mbayuwayu wao hawana..
 

Sorry mkuu. Mara nyingi sana in your posts i've being seeing you citing this word MoU. Ni kitu gani hiki. Does it also apply in this scenario where the church have used money from it's followers to buy an asset? Do you think this is a favour to the church. Naomba usije kwa jazba mkuu. HAPA HATUSHINDANISHI JAZBA, TUNAELEWESHANA KWA HOJA
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom