Chimunguru
JF-Expert Member
- May 3, 2009
- 10,678
- 4,350
Chama kilishashindwa ile siku waliyoingia muafaka na mwizi CCM na kukubali kuwa mke wa Fisadi na fedhuli bin dhalimu CCM
ila mimi nawakubali sana CUF kwa maana si mliona mwaka 2000 na mwaka 1995? CUF wanakubalika katika jamii japo nao pia naona kama wana ka udini ila hawajaishinda M4C ,chadema wapo kidini zaidi wakifuatiwa na CUF ,binafsi nafuu wazee wa kuvua Gamba.
Kuvuja kwa pakacha nafuu ya mchuuzi! leo Arusha biashara nje nje nyumba za wageni, mama ntilie, kitimoto, ndizi,...Baada ya huu ugeni mkubwa cuf! Changamkieni tenda hiyo wamekuja wenyewe!
Mkuu wangu hao wapemba watalala nyumba za wageni?
Maandalizi yanaendelea huku daladala ikiwa hapa uwanjani inapakia watu wanaotaka kwenda uwanja wa ndege. Tunaombwa watu wawili tu wamebaki gari liondoke nusu saa sasa!
Leo nitawaletea kitakacho kuwa kinaendelea kwenye uwanja wa Levolosi kwenye mkutano wa CUF. kwasasa CUF walikuwa wanazunguka hapa mjini Arusha wakiwa na coasta zaidi ya 20 na pikipiki....
Leo nitawaletea kitakacho kuwa kinaendelea kwenye uwanja wa Levolosi kwenye mkutano wa CUF. kwasasa CUF walikuwa wanazunguka hapa mjini Arusha wakiwa na coasta zaidi ya 20 na pikipiki....
View attachment 66617
Maandamano ya CUF hii leo.
Msikiti mkuu wa ArushaMkuu wangu hao wapemba watalala nyumba za wageni?
Wakuu mkutano Uko Kiwanja kipi?