Elections 2010 Arusha Mjini: Hali si shwari

sitaamini,kumbe kuna watu wanataka wenzao wafe?
ivi utaongozaje mahali hapo?
 
imposible. Arusha itanuka damu. Mungu aepushie mbali lkn thats how it is.. Huyu malaya akubali tu. Sipati picha lema angeshindwa halafu akatae labda angekuwa sero sasa.

...jazba na matusi ya nini?
 
Sasa hili halivumiliki. Lowasa akifanikiwa hili atahamia Nyamagana maana inasemekana na ushahidi upo kuwa alifanya mpango (akishirikiana na JK, Rostam na Ridhiwani) wa kumfanya Masha awe Mbunge tena kule Nyamagana wakishirikiana na Kabwe - mkurugenzi Uchaguzi Mwanza. Wananchi wakapinga kwa kumpigia NO. Sasa inasemekana JK naye amekimbilia Mwanza kuongoza kampeni zilezile za kuchakachua. Machafuko nchi hii yapo hatarini kutokea. CCM ITABEBA LAWAMA zote. Chama cha kihuni sana hiki.
 
mgombea ubunge katika jimbo la Arusha mjini kwa tiketi ya CCM, agoma kusaini matokeo baada ya kushindwa na mgombea mwenza kupitia tiketi ya CHADEMA Godwin Lema. hali iyo imejitokeza muda mchache kabla ya kutangazwa kwa mshindi ktk jimbo hilo. hivi sasa umati mkubwa wa wafuasi na wapenzi wa CHADEMA umekusanyika katika ofisi za MANISPAA.
 
Hivi ni nani yeye mpaka atuchagulie viongozi,tumechoka kama vp tuzichape tu.watuibie rasilimali za nchi na kura
 
Lowasa anafanya kikao kama nani, anahusika vipi na matokeo ya uchaguzi katika jimbo la Arusha mjini? Jamani hawa CCM kwanini hawataki kukubali mabadiliko....kunanini huko mjengoni wanachoking'ang'ania?
 
Huyu mama aligoma kusaini matokeo akidai hasaini hadi Lowaasa aje hapo ktk ukumbi wa jiji la ARUSHA. Ni kweli wale jamaa pale walimsubiri, naye huyu fisadi wa Monduli akaja na akaingia ndani ya chumba cha mkutano wao. Akaja na hoja ya kutaka kura zirudiwe kuhesabiwa upya. kwa mujibu wa sheria, matokeo hayahesabiwi huku wanakohesabia sasa. Jamani hii inakuwaje? hebu nisaidieni mwenzenu mie siyo mtaalam wa sheria za uchaguzi. Inakuwaje mgombea wa jimbo lingine (Monduli) aje kuwa mshauri na hakimu wa jimbo lingine (Arusha mjini). Huu ni wizi.
HAKI HUINUA TAIFA!
 
Wana JF,


Kwa taaarifa yenu JWTZ Monduli liko njiani Kuelekea Mjini Arusha kwani Jimbo liko matatani kuelekea CHEDEMA kwa taarifa za awali
 
Huyu mama aligoma kusaini matokeo akidai hasaini hadi Lowaasa aje hapo ktk ukumbi wa jiji la ARUSHA. Ni kweli wale jamaa pale walimsubiri, naye huyu fisadi wa Monduli akaja na akaingia ndani ya chumba cha mkutano wao. Akaja na hoja ya kutaka kura zirudiwe kuhesabiwa upya. kwa mujibu wa sheria, matokeo hayahesabiwi huku wanakohesabia sasa. Jamani hii inakuwaje? hebu nisaidieni mwenzenu mie siyo mtaalam wa sheria za uchaguzi. Inakuwaje mgombea wa jimbo lingine (Monduli) aje kuwa mshauri na hakimu wa jimbo lingine (Arusha mjini). Huu ni wizi.
HAKI HUINUA TAIFA!
Lowassa hana haki ya kuwa hapo kwani hakuwa wakala wala wakili wake hivyo hana haki hata ya kufika hapo. Huu ni ujinga mtupu.
 
Jamani jamani CCM! Mbona hivyo? Si wananchi wameamua? Wanataka kuwalazishia kiongozi wasiyemtaka? Wanafurahia jeshi letu kuua watu kisa mtu wao apate cheo? Kikwete si alisema kuna watu wanatakwenda ikulu kwa kumwaga damu akiwaponda upinzani, mbona wabunge wake wanataka kurudi madarakani kwa kuwaga damu? No, no no!
 
Back
Top Bottom