Heh nao washaanza kuitana panya tena!!
Hapo watu wakisema CDM ni chama cha fujo mtakataa ? hadhi mnajishushia wenyewe msitafute mchawi
Hivi hizo pikipiki ni mali ya Chadema? hawa jamaa watakaogoma nadhani watakuwa ni wahuni tu na huo mgomo sijui kama utakuwa na madhara yoyote kwa serikali
kwanini wanachadema tusitafute njia nzuri ya kupata suluhisho la hili jambo? tunataka kupoteza tena wenzetu? Tusipende kumwaga damu kwa jambo lisilokuwa na Msingi. kama Mh Lema kaamua kwenda gerezani, tumwache apumzike huko, sisi huku tuendelee kukijenga chama!
Nimetafakari sana na nikatambua kuwa sababu ni mimi pale nilipokuwa kimya wakati wajane na wanyonge wanaonewa. NIliposikia wengine wanaandamana kupinga uovu, uonevu, wizi, ufisadi na ukandamizaji wa haki nikasema ni hao na wala sio mimi, kumbe nilipaswa kuwa mbele katika harakati hizi.kwanini wanachadema tusitafute njia nzuri ya kupata suluhisho la hili jambo? tunataka kupoteza tena wenzetu? Tusipende kumwaga damu kwa jambo lisilokuwa na Msingi. kama Mh Lema kaamua kwenda gerezani, tumwache apumzike huko, sisi huku tuendelee kukijenga chama!
Hivi hizo pikipiki ni mali ya Chadema? hawa jamaa watakaogoma nadhani watakuwa ni wahuni tu na huo mgomo sijui kama utakuwa na madhara yoyote kwa serikali
Liverpoolfc hayo matusi si ndiyo ya Col Gadafi wa Libya mwisho wake si wameuona, sasa sijui hii Tanzania itaishia wapi kama haitakuwa na vingozi wenye busara?
Sishangazwi na wewe maana katika msafara wa ukombozi wasaliti hawakosekani,itafika wakati utajua fikra zetu wana Arusha zimekomaa,ni wakati tutakapoikomboa TanzaniaSinto shangaa watu hawa kugoma, kwani siku zote watu wa arusha wamekuwa wanashikwa masikio na fikra zao ni changa
Huyu jamaa ukisikiliza utafikiri kichaa lakini baadae utagundua maneno anayosema anayatoa moyoni kabisa, kuna hatari naiona mbele, serikali ikijifanya kudharau itakuja juta na haitapata muda wa kujirekebisha yetu macho.
Best nakwambia hawa magamba bila ya kuwashurutisha hakika watatuita hata mende na itakuwa kama ya marehemu Gaddafi!
Kuna kitanda huko, kama hamna pls niambie nije nikupe company halafu asubuhi unapeta na mzigo tehe tehe tehe.duh....hii imetulia...ngoja nianze safari ya kwenda ofisini leo....
Mkuu hata nyumba itaka kuungua huwa hailipuki yote kwa pamoja.....ni swala la muda tu iko siku ambayo haina jina watu hawata amini....
Be peaceful, be courteous, obey the law, respect everyone; but if someone puts his hand on you, GIVE HIM MISRATA
Haya ni maneno tu. Lema anajitafutie cheap popularity kwa hili. Tayari tumeshaona uwezo wake wa kufanya kazi. Chadema bado ni changa, tuache ushabiki.. kwa sasa watu tunashabikia anachokifanya Lema, but kina bad impact kwa chama.Nimetafakari sana na nikatambua kuwa sababu ni mimi pale nilipokuwa kimya wakati wajane na wanyonge wanaonewa. NIliposikia wengine wanaandamana kupinga uovu, uonevu, wizi, ufisadi na ukandamizaji wa haki nikasema ni hao na wala sio mimi, kumbe nilipaswa kuwa mbele katika harakati hizi.
Nilipoona wenzangu hawawezi kupata matibabu nikasema mimi sio mgonjwa, nilipopata taarifa za rafiki zangu kufungwa kwa makosa yasiyo yao, nilipoona watoto wa mitaani wanaomba chakula, nilipoona wazee wamepoteza matumaini ya kuishi katika uzee wao, nilipoona vijana hawana ajira, nilipoona mabinti wasichana wadogo wameamua kufanya biashara ya ukahaba, NIKATAFAKARI,TENA NIKATAFAKARI, dhahabu zetu, almasi yetu, Milima na mabonde yetu, Tanzaninte yetu, samaki wetu, Uranium yetu, makaa ya mawe yetu, utalii wetu, ardhi na kilimo chetu na zaidi utu na mahusiano yetu.
Sheria zipo. CDM ni chama chenye wanasheria wazuri. Chadema ni chama chenye wasomi wengi.Tuwekee njia mbadala hapa ya kupata haki na utu wetu