Nidhamu gani hii ya kutaka usikilizwe wewe tu? Hii nidhamu ya kizezeta ndio imewafikisha CCM hapo walipo. Na ninyi CHADEMA igeni tu kuzitumia sheria hizi kandamizi na mbovu. Hamtaziacha hata mkikabidhiwa madaraka ya kuongoza nchi hii. Ni sawasawa na kula nyama ya mtu.Taasisi gani isiyohitaji nidhamu chini ya jua?
Umeathiriwa sana na siasa za Tanzania zisizo na nidhamu nini mkuu?...