Mungi
JF Gold Member
- Sep 23, 2010
- 16,975
- 9,566
Manyanyaso yanayofanywa na serikali ya ccm dhidi ya watu wa kanda ya kaskazini hususan Arusha yanafanya watu wafikirie kupandisha bendera yao.
Vile vile kitendo cha serikali kukaa kimya kuhusu kutatua migogoro ya Arusha, kutopinga kauli ya umoja wa vijana uvccm kwamba rais wa tanzania hatatoka kanda ya kaskazini kamwe tena mbele ya mtoto wa rais ni dharau kubwa sana kwa watu wa kanda ya kaskazini.
Matumizi ya mabavu rather that diplomatic table, hasa kwa kutumia jeshi la polisi kwa kuwapiga watu wetu inaonyesha dharau kubwa sana kwa kanda ya kaskazini hasa kwenye maeneo ambayo yameonyesha mwamko mkubwa kisiasa.
Kanda ya kaskazini na magharibi, yaani Mkoa wa Mwanza, Shinyanga, Arusha, Kilimanjaro, Mara, Manyara zikiungana zinaweza kujiendesha bila kutegemea msaada kutoka sehemu nyingine.
Mikoa hii ina rasilimali za kutosha, hivyo wakimchagua kiongozi (siyo aliyechaguliwa na nec) bora wanaweza kuwasaidia wananchi kwenye suala la maendeleo.
Imetosha kunyanyaswa na serikali ya ccm.
nawakilisha.
Vile vile kitendo cha serikali kukaa kimya kuhusu kutatua migogoro ya Arusha, kutopinga kauli ya umoja wa vijana uvccm kwamba rais wa tanzania hatatoka kanda ya kaskazini kamwe tena mbele ya mtoto wa rais ni dharau kubwa sana kwa watu wa kanda ya kaskazini.
Matumizi ya mabavu rather that diplomatic table, hasa kwa kutumia jeshi la polisi kwa kuwapiga watu wetu inaonyesha dharau kubwa sana kwa kanda ya kaskazini hasa kwenye maeneo ambayo yameonyesha mwamko mkubwa kisiasa.
Kanda ya kaskazini na magharibi, yaani Mkoa wa Mwanza, Shinyanga, Arusha, Kilimanjaro, Mara, Manyara zikiungana zinaweza kujiendesha bila kutegemea msaada kutoka sehemu nyingine.
Mikoa hii ina rasilimali za kutosha, hivyo wakimchagua kiongozi (siyo aliyechaguliwa na nec) bora wanaweza kuwasaidia wananchi kwenye suala la maendeleo.
Imetosha kunyanyaswa na serikali ya ccm.
nawakilisha.