Wana JF huku Arusha hali ni tete baada ya madereva wa vifodi kugoma wakishinikiza mbunge wao aachiliwe huru na OCD Ars ahamishwe. Askari mmoja wa FFU kapigwa kajeruhiwa vibaya mno kwenye purukushani. Kituo cha vifodi kiko kitupu na barabarani hakuna kifodi hata kimoja, peoles are matching to and fro different areas.
NAWASILISHA
kikwete ana nia ya kuuharibu mi wakedu kweli nch ishauzwa arusha hakuna umeme mji mzima daladala hakuna maji hakuna na mbunge wetu hayupo du kweli magamba kiboko
mikoa ya ukombozi ni mwanza, mbeya na arusha, dar tunaishi wehu tu
mikoa ya ukombozi ni mwanza, mbeya na arusha, dar tunaishi wehu tu
Wana jamvi heshima kwenu.
Ule mgomo wa daldala,taxi na bodaboda umeshindwa kufanyika kama ilivyotarajiwa.
Madereve wa daladala na bodabado wamekataa kuitikia mwito wa wanaharakati wa CDM wa kugoma kwa siku ya leo ili kushinikiza Mbunge wa Arusha mjini Mheshimiwa Godbless Lema aachiwe huru.
Mheshimiwa Godbless Lema aliigoma kuchukua dhamani na kukubali kwenda gerezani kwa hiyari yake mwenyewe ikiwa ni sehemu ya kupinga kuonewa na kunyanyaswa na jeshi la polisi mkoani Arusha.
Nimezungumza na madereva wa daladala na bodaboda wengi wamekataa kuunga mkono mgomo kwa kigezo kikubwa kwamba Lema hakunyimwa mdhamana bali alitakaa mwenyewe kwenda magereza pengine ni sehemu ya mkakati wake wa kufungua matawi mengi ya CDM au kujitafutia umaarufu zaidi ambao tayari anao.Wengine walienda mbali zaidi kwa kuniambia ajira yao inategemea malipo ya siku hivyo kugoma ni kujinyima rizki na kuziumiza familia zao pasipo sababu za msingi.
Wapiga debe wanajaribu bila mafanikio kuwalazimisha madereva wa daladala wapaki magari.Jeshi la polisi FFU wamezidisha doria ili kukabiliana na wapiga debe wanaotishia usalama wa daladala na raia.
Nitarejea baadae nipo mtaani kuwapa kile wanajamvi wengi msichopenda kuelezwa.
Wana JF huku Arusha hali ni tete baada ya madereva wa vifodi kugoma wakishinikiza mbunge wao aachiliwe huru na OCD Ars ahamishwe. Askari mmoja wa FFU kapigwa kajeruhiwa vibaya mno kwenye purukushani. Kituo cha vifodi kiko kitupu na barabarani hakuna kifodi hata kimoja, peoles are matching to and fro different areas.
NAWASILISHA
Tukio hilo lietokea eneo gani?Wana JF huku Arusha hali ni tete baada ya madereva wa vifodi kugoma wakishinikiza mbunge wao aachiliwe huru na OCD Ars ahamishwe. Askari mmoja wa FFU kapigwa kajeruhiwa vibaya mno kwenye purukushani. Kituo cha vifodi kiko kitupu na barabarani hakuna kifodi hata kimoja, peoles are matching to and fro different areas.
NAWASILISHA