Leta source.
NHC nayo ni inamilikiwa na serikali ya ccm?
Unataka kuniambia ccm ni kirusi hatari zaidi ya ukimwi, TB, Malaria, Kansa na vinginevyo vilivyo hatari? Ndani ya Tz?
Mtajiju!!! Utawajua tu kazi kubeza kila kitu hata kama ni kizuri. Nyie mnaolipwa na Mbowe kuja kuiponda CCM hamna sera. Endeleeni na kazi yenu mwona kama inalipa!!!