jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Wewe tulia maana hujui nyumba zinazozungumziwa! Nyumba za kaloleni ndio zinazotakiwa kuvunjwa kupisha mwekezaji wa kiarabu na sio nyumba za Aicc. Acha kupotosha watu!
Mpango mzima wa huo uwekezaji unanuka rushwa. Utaratibu wa kutangaza tenda umekiuka sheria ya manunuzi. Tenda haikutangazwa. Amekaa huyo anayejiita meya na mwarabu wakamalizana. Eti madiwani watapelekwa uarabuni wakaone uwekezaji kama huo wakati ramani na prototype zipo. Rushwa tu! Leo mbunge anawaeleza wananchi unasema ni kilaza. Kilaza ni yule anayekaa kimya au anayesema!? Kufikiria hivyo ni kudhihirisha ufupi wa akili yako!
Hebu njoo uelezee vizuri kuhusu sakata la hizi nyumba.