Arusha: Green guards wawapiga wananchi wa Daraja mbili

Ccm ndio wanaipeleka pabaya nchi hii,mie sijui wanataka nini? vurugu za udini wao ndio waasisi,mauaji ya albino wahusika wao,mauaji yanayofanywa na policcm wao hivi hawa wanataka nini au wamechoka kula hela zao za kifisadi?

Bado makamanda waoga wa CHADOMO
 
hii inathibitisha uwezo wao mdogo wa kufikiri. ukishajijengea image mbaya kwenye kampeni lazima ushindwe.sasa hapa hata wale wachache ambao wangeweza kupiga kura kwa ccm watabadilika.
 
View attachment 69312
huyu ni mmoja wa makamanda aliyeumizwa vibaya huko Daraja mbili!

Hakika damu ya makamanda na wapigania haki nchii inazidi kumwagika mwenye mamlaka 2mempa nchi lakini anawachekea wala rushwa,ipo siku jipu analolilea litapasuka.pole sn kamanda wetu Mungu akuponye haraka urudi tuendeleze harakati.
 
Dalili za kifo wameona somo limewaingia watu wa daraja mbili walidhani pesa waliyotoa ingewasaidia kununua watu kama kiberiti na kutumia watu kama makarai ya kujengea ujenzi ukiisha yanatupwa mbali nyumba inapangishwa kwa bei ya juu tena dola. Wito wangu kwa wana daraja mbili jumamosi wawahi kulala ili j2 asubuhi wawahi kwenye kituo cha kura na kutumia vema kitambulisho cha kura ( kitambulisho ni panga hatari sana kwenye shingo ya magamba) mkitumie vizuri please
 
Mkuu Ritz;
aahhha mkuu unataka kuweka pambo ukutani? Yaani siwezi kuamini jinsi jamaa anaovyoonekana mwenye furaha na mkewe halafu anatokea muhuni mmoja bila haya wala aibu anamdhulumu furaha yake.

Chama
Gongo la mboto DSM
Ni aibu kwa msomi kushindwa kujadili mambo ya kisera na kuishia kushabika udaku!
 
Mkuu Ritz;
aahhha mkuu unataka kuweka pambo ukutani? Yaani siwezi kuamini jinsi jamaa anaovyoonekana mwenye furaha na mkewe halafu anatokea muhuni mmoja bila haya wala aibu anamdhulumu furaha yake.

Chama
Gongo la mboto DSM

Mkuu chama,
Hii dunia kuna watu wana roho hakuna kitu kinachouma kwenye maisha kama kuporwa mke.
 
Last edited by a moderator:
hivi sisi chadema tutalialia mpaka lini? hao green gurd walikuwa wangapi? na kesho mtawaacha waendelee kutamba mitaani...
 
Hapo red Kamanda! Huyu j4 ni soo hapa town enzi yake na nikukikutana naye uso kwa uso hakika tutazikunja tu!
Namjua sana na hata anaponyea bila shaka ninajua!

Labda nisikutane naye!

mkuu hapo bila shaka ulitaka kumaanisha "anaponywea"
 
Nawatamani sana siku moja wajiroge waingie anga zangu,lazima mmoja wao akitoka hapo ni labour case, wananitia hasira sana hawa magaidi wanaofunzwa na ccm

Wakuu mimi ni moja wa waathirika wa vurugu hizo, nilikuwa kwenye gari moja na huyo kamanda aliyejeruhiwa nilipigwa vibaya sana hata sasa siwezi kugeuza shingo yangu! Huu unyama wa CCM utafikia mwisho wake hivi karibuni! Wametupora laptop, iPAD, na simu! Kweli hawa jamaa ya CCM ni vibaka!
 
Leo jioni green guards wamewashambilia na kuwaumiza vibaya wananchi wa daraja mbili kwa madai kuwa wamewasiliti. Hali hiyo ilitokana na wanachi kuonyesha ishara ya vidole viwili vitumiwavyo na chadema.

Baada ya kichapo hicho kada mmoja wa chadema alipigwa na green guards na kuumizwa vibaya na kushonwa nyuzi nne, amepigwa mbele ya polisi na green guards wakiongozwa na jumanne mjusi

Huyu jamaa alikuwa jambazi tena lile ambalo likifika mlangoni kofuli zinatetemeka na vitasa vinacheza. Alikuwa anaishi Ngarenaro ya chini na alishafungwa mara nyingi na kuachiwa. Sasa ndio ameamua kujificha kwenye mwavuli wa ccm! Kweli chama kimeoza.
 
Hapo cjui!JK anakuja Arusha kuzindua jiji!cjui atapata wapi watu wa kuwahutubia,labda wawabebe kama kawaida.Hawa ma ccm wanawalazimisha watu wawakubali wakati hawana sera wala huruma kwa wananchi!!?wangewaleta wa kwao kwenye mikutano yao na cyo kuwalazimisha na kuwapiga wananchi wasio na hatia
kitendo cha kuwabeba mashabiki kutoka Dar mpaka Arusha ndio kinawafanya wakonde ingawa wana kula vizuri na kupata huduma zote nzuri. CHADEMA inawanyima usingizi. Na bado mpaka 2015 wataokota makopo kabisa maana CDM itakuwa imewagaragaza mbaya.
 
Ni aibu kwa msomi kushindwa kujadili mambo ya kisera na kuishia kushabika udaku!

Mkuu Gwalihenzi
Tatizo liko wapi? hayajakukuta haya siku yakikukuta utasahau kama kuna kitu kinaitwa sera

Chama
Gongo la mboto DSM
 
Hapo cjui!JK anakuja Arusha kuzindua jiji!cjui atapata wapi watu wa kuwahutubia,labda wawabebe kama kawaida.Hawa ma ccm wanawalazimisha watu wawakubali wakati hawana sera wala huruma kwa wananchi!!?wangewaleta wa kwao kwenye mikutano yao na cyo kuwalazimisha na kuwapiga wananchi wasio na hatia
hapo kwenye red tafadhali. kuzindua jiji ni kazi ya kiserkali na si kazi ya kichama, usichanganye majambo mawili haya. JK akija atakuja kuzindua kama Raisi na sio M/kiti, kwa hivyo kwa umoja wetu itabidi tuende
 
sikuhizi hata kwenye kampeni zao watoto wamewashtukia, hawaendi kusikiliza muziki tena!
Watu wanataka sera siyo mdundiko

Mungi, even kids are fade-up! I wonder watu wazima still embracing that party.
 
Last edited by a moderator:
Leo jioni green guards wamewashambilia na kuwaumiza vibaya wananchi wa daraja mbili kwa madai kuwa wamewasiliti. Hali hiyo ilitokana na wanachi kuonyesha ishara ya vidole viwili vitumiwavyo na chadema.

Baada ya kichapo hicho kada mmoja wa chadema alipigwa na green guards na kuumizwa vibaya na kushonwa nyuzi nne, amepigwa mbele ya polisi na green guards wakiongozwa na jumanne mjusi

huyo jumanne mjusi ni nani mpaka awe ana uwezo wa kupiga raia mbele ya polisi? Inaamana kazi ya green card ni kupiga watu wanaonyanyua vidole viwili juu?
 
Leo jioni green guards wamewashambilia na kuwaumiza vibaya wananchi wa daraja mbili kwa madai kuwa wamewasiliti. Hali hiyo ilitokana na wanachi kuonyesha ishara ya vidole viwili vitumiwavyo na chadema.

Baada ya kichapo hicho kada mmoja wa chadema alipigwa na green guards na kuumizwa vibaya na kushonwa nyuzi nne, amepigwa mbele ya polisi na green guards wakiongozwa na jumanne mjusi

huyu Jumanne Mjusi inasemekana ni Jambazi sugu la muda mrefu wakuu
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom