Arumeru yametimia; CCM Kuchukua jimbo kiulainiiii kama Igunga

Mr Emmy

JF-Expert Member
Mar 12, 2012
1,219
550
Kampeni za lala salama Arumeru zimeshika kasi, huku chama kubwa CCM kikifanya kampeni zake kisayansi zaidi na kupalilia ushindi wake ambao tayar unaonekana dhahiri katika jimbo la Arumeru. Chama cha Chadema kimeendelea kupoteza mvuto kadri siku zinavyosogea kuelekea siku ya tukio ya kugawanyika rasmi Chadema tarehe 1/04/2012.

Zigo zito la kugombania urais wa 2015 katika chama chadema zimefanya timu ya kampeni ya kushindwa kukamilisha mpango wao wa kutetea mtaji wa kura walizopata mwaka 2010 ambazo nazo zimeonekana zitachukuliwa na Chama kubwa CCM. Sintofahamu kubwa imekuja baada upande mmoja unaotaka uraisi kukatiliwa kushiriki ufungaji wa kampeni wa chama hicho siku ya mwisho wa kampeni na kufanya wafuasi wake kuanza kususia na kuhujumu harakati za kampeni za chama hicho

Tayari makada wakuu wa chama wanaendelea kuripoti na kupokelewa kwa hamasa kubwa hapa arumeru kwa ajili ya kufanikisha sherehe kubwa kuliko zote kufanyika katika kanda ya kazikazini ya kufunga kampeni za CCM na kuzindua shamrashamra za kumtangaza rasmi Sioi Sumari kama mbunge mpya wa Arumeru
 
mashamba ya arumeru mashariki,mashamba ya chai lupembe,mgodi wa maka ya mawe kiwira, mashamba ya mpunga mbarali,kiwanda cha marumaru dodoma, benki ya nbc,uuzwaji wa nyumba za serikali, ndiyo mtaji wa chama kubwa na mungu ataendelea kukivumilia chama mpaka mwisho wa dunia.

kidumu chama cha mapinduzi.
 
Kampeni za lala salama Arumeru zimeshika kasi, huku chama kubwa CCM kikifanya kampeni zake kisayansi zaidi na kupalilia ushindi wake ambao tayar unaonekana dhahiri katika jimbo la Arumeru. Chama cha Chadema kimeendelea kupoteza mvuto kadri siku zinavyosogea kuelekea siku ya tukio ya kugawanyika rasmi Chadema tarehe 1/04/2012.

Zigo zito la kugombania urais wa 2015 katika chama chadema zimefanya timu ya kampeni ya kushindwa kukamilisha mpango wao wa kutetea mtaji wa kura walizopata mwaka 2010 ambazo nazo zimeonekana zitachukuliwa na Chama kubwa CCM. Sintofahamu kubwa imekuja baada upande mmoja unaotaka uraisi kukatiliwa kushiriki ufungaji wa kampeni wa chama hicho siku ya mwisho wa kampeni na kufanya wafuasi wake kuanza kususia na kuhujumu harakati za kampeni za chama hicho

Tayari makada wakuu wa chama wanaendelea kuripoti na kupokelewa kwa hamasa kubwa hapa arumeru kwa ajili ya kufanikisha sherehe kubwa kuliko zote kufanyika katika kanda ya kazikazini ya kufunga kampeni za CCM na kuzindua shamrashamra za kumtangaza rasmi Sioi Sumari kama mbunge mpya wa Arumeru


Vp tayari zile mbinu za Uchakachuzi zimekamilika?!!:redface:...!!! this time tunalinda kura zetu, hatukubali kuibiwa
 
Nanukuu kauli ya zitto jana kata ya Kiwira kuwa Arumeru tutashinda japo kuna baadhi ya watu wanategemea Chadema itapotea
 
Naona KIMBA limekubana.kanye,nawa miguu ulale,huo ubwabwa na 5000 uliopewa na magamba kwenye kampeni leo,
 
VBAICHA SASA KIPENGA PIEEEEEEEEEEE MPAKA USHINDI MURUA WA HAKI NA UTETEZI WA UTU WA KILA MTANZANIA UPATIKANE BILA ZENGWE ARUMERU MASHARIKI TANGU SASA!!!!!!!!!!!!!

Askari wetu wa miavuli BAVICHA,

katika hii wiki ya lala salama Arumeru ni vema kuliko kawaida 'Dozi ya Siasa za Kistaarabu' mkanyunyiza mtindo wa Igunga kutwa mara tatu kufikisha ujumbe wa ukombozi katika kila lango la kila mpiga kura katika kila kijiji jimboni hapo na hatimaye kuhitimisha kwa mkakati wa kufa mtu katika kudhibiti usalama wa kila kura itakayopigwa siku hiyo.

Kamanda Heche tunahitaji kuona organisation skills na usimamizi wa kitimu kwa kushirikiana kwa karibu sana na machalii wote wa Arumeru Mashariki (kama Kamanda Vincent Nyerere tangu alivyofanikiwa na msaidizi wake Mchungaji) tangu sasa.

Kipenga pieeeeee, pipoz pawaaaaa mpaka ushindi kuubeba mbeeeele kama tai huku sote tukishirikiana kwa kila hali kila mahali na kila waka!!!!!!!!!
 
Kampeni za lala salama Arumeru zimeshika kasi, huku chama kubwa CCM kikifanya kampeni zake kisayansi zaidi na kupalilia ushindi wake ambao tayar unaonekana dhahiri katika jimbo la Arumeru. Chama cha Chadema kimeendelea kupoteza mvuto kadri siku zinavyosogea kuelekea siku ya tukio ya kugawanyika rasmi Chadema tarehe 1/04/2012.

Zigo zito la kugombania urais wa 2015 katika chama chadema zimefanya timu ya kampeni ya kushindwa kukamilisha mpango wao wa kutetea mtaji wa kura walizopata mwaka 2010 ambazo nazo zimeonekana zitachukuliwa na Chama kubwa CCM. Sintofahamu kubwa imekuja baada upande mmoja unaotaka uraisi kukatiliwa kushiriki ufungaji wa kampeni wa chama hicho siku ya mwisho wa kampeni na kufanya wafuasi wake kuanza kususia na kuhujumu harakati za kampeni za chama hicho

Tayari makada wakuu wa chama wanaendelea kuripoti na kupokelewa kwa hamasa kubwa hapa arumeru kwa ajili ya kufanikisha sherehe kubwa kuliko zote kufanyika katika kanda ya kazikazini ya kufunga kampeni za CCM na kuzindua shamrashamra za kumtangaza rasmi Sioi Sumari kama mbunge mpya wa Arumeru

we shoga kama huyo mwenzio aliyetoboa sikio na kuva shanga.mtasubiri sana kufanya sherehe, labda ya kumpongeza shoga wakwanza aliyethubutu kugombea ubunge tz na kushindwa.
 



Tayari makada wakuu wa chama wanaendelea kuripoti na kupokelewa kwa hamasa kubwa hapa arumeru kwa ajili ya kufanikisha sherehe kubwa kuliko zote kufanyika katika kanda ya kazikazini ya kufunga kampeni za CCM na kuzindua shamrashamra za kumtangaza rasmi Sioi Sumari kama mbunge mpya wa Arumeru
[/QUOTE]

Mi ccm ndivyo ilivyo: inawaza sherehe, kula, kulala, kulalana, baaaaaaaas!
 
Ungesema CHADEMA watashinda uchaguzi lakini CCM ndiyo watakaotangazwa washindi ungeeleweka kiulaini wewe!
Nakumbuka kauli ya Mkapa, aliposema CCM watangazwe washindi, CHADEMA wakatafute haki mahakamani!

Kwa taarifa yenu hakuna kulala, kura zitalindwa mpaka kieleweke!
 
Enyi MAFISADI wote pamoja na chama CCM eleweni hili vema na kwa uwazi wake wote, ukweli wote ni kwamba;

... WaTanzania sote TUMESHAAMUA kwamba mambo yote ya ukombozi wa MTANZANIA kuondokana na MAFISADI ni kwa CHADEMA.

Je ni nani tena wa kutuzuia?????????????

Kampeni za lala salama Arumeru zimeshika kasi, huku chama kubwa CCM kikifanya kampeni zake kisayansi zaidi na kupalilia ushindi wake ambao tayar unaonekana dhahiri katika jimbo la Arumeru. Chama cha Chadema kimeendelea kupoteza mvuto kadri siku zinavyosogea kuelekea siku ya tukio ya kugawanyika rasmi Chadema tarehe 1/04/2012.

Zigo zito la kugombania urais wa 2015 katika chama chadema zimefanya timu ya kampeni ya kushindwa kukamilisha mpango wao wa kutetea mtaji wa kura walizopata mwaka 2010 ambazo nazo zimeonekana zitachukuliwa na Chama kubwa CCM. Sintofahamu kubwa imekuja baada upande mmoja unaotaka uraisi kukatiliwa kushiriki ufungaji wa kampeni wa chama hicho siku ya mwisho wa kampeni na kufanya wafuasi wake kuanza kususia na kuhujumu harakati za kampeni za chama hicho

Tayari makada wakuu wa chama wanaendelea kuripoti na kupokelewa kwa hamasa kubwa hapa arumeru kwa ajili ya kufanikisha sherehe kubwa kuliko zote kufanyika katika kanda ya kazikazini ya kufunga kampeni za CCM na kuzindua shamrashamra za kumtangaza rasmi Sioi Sumari kama mbunge mpya wa Arumeru
 
Kampeni za lala salama Arumeru zimeshika kasi, huku chama kubwa CCM kikifanya kampeni zake kisayansi zaidi na kupalilia ushindi wake ambao tayar unaonekana dhahiri katika jimbo la Arumeru. Chama cha Chadema kimeendelea kupoteza mvuto kadri siku zinavyosogea kuelekea siku ya tukio ya kugawanyika rasmi Chadema tarehe 1/04/2012.

Zigo zito la kugombania urais wa 2015 katika chama chadema zimefanya timu ya kampeni ya kushindwa kukamilisha mpango wao wa kutetea mtaji wa kura walizopata mwaka 2010 ambazo nazo zimeonekana zitachukuliwa na Chama kubwa CCM. Sintofahamu kubwa imekuja baada upande mmoja unaotaka uraisi kukatiliwa kushiriki ufungaji wa kampeni wa chama hicho siku ya mwisho wa kampeni na kufanya wafuasi wake kuanza kususia na kuhujumu harakati za kampeni za chama hicho

Tayari makada wakuu wa chama wanaendelea kuripoti na kupokelewa kwa hamasa kubwa hapa arumeru kwa ajili ya kufanikisha sherehe kubwa kuliko zote kufanyika katika kanda ya kazikazini ya kufunga kampeni za CCM na kuzindua shamrashamra za kumtangaza rasmi Sioi Sumari kama mbunge mpya wa Arumeru

Masaburi @ work uko dar unatabiri ushindi arumeru?waulize wenzio waliopo eneo la tukio.
 
mmh, maskhara maskhara huwa kweli! Nahisi Haki isipotendeka na kuonekana Arumeru linaweza likaanzia huko na kuishia the Hague!
Muda utasema!
 
Dah, mshikaji umenikumbusha ile vita ya Iraq na Marekani katika kumng'oa Sadam Hussein. Unamkumbuka yule afisa mawasiliano wao alivyokuwa anachonga wakati ukweli ulikuwa kwamba majeshi ya Sadam yanatandikwa ile mbaya. Hii ndo hali ambayo CCM mnayo huko Arumeru. Na bado
 
Kumbe CCM ilishinda kiulaini Igunga!!

Tatizo watu wanasukumwa na ukereketwa wa chama mpaka matokeo yake wanakuwa wababaishaji, ukiangalia kura walizopata Chadema kule Igunga ukilinganisha na walizopata CCM ambao walikuwa wanatetea jimbo unashindwa kuamini kama kuna great thinker anaweza kuandika kuwa CCM walishinda kiulaini Igunga.
 
Kampeni za lala salama Arumeru zimeshika kasi, huku chama kubwa CCM kikifanya kampeni zake kisayansi zaidi na kupalilia ushindi wake ambao tayar unaonekana dhahiri katika jimbo la Arumeru. Chama cha Chadema kimeendelea kupoteza mvuto kadri siku zinavyosogea kuelekea siku ya tukio ya kugawanyika rasmi Chadema tarehe 1/04/2012.

Zigo zito la kugombania urais wa 2015 katika chama chadema zimefanya timu ya kampeni ya kushindwa kukamilisha mpango wao wa kutetea mtaji wa kura walizopata mwaka 2010 ambazo nazo zimeonekana zitachukuliwa na Chama kubwa CCM. Sintofahamu kubwa imekuja baada upande mmoja unaotaka uraisi kukatiliwa kushiriki ufungaji wa kampeni wa chama hicho siku ya mwisho wa kampeni na kufanya wafuasi wake kuanza kususia na kuhujumu harakati za kampeni za chama hicho

Tayari makada wakuu wa chama wanaendelea kuripoti na kupokelewa kwa hamasa kubwa hapa arumeru kwa ajili ya kufanikisha sherehe kubwa kuliko zote kufanyika katika kanda ya kazikazini ya kufunga kampeni za CCM na kuzindua shamrashamra za kumtangaza rasmi Sioi Sumari kama mbunge mpya wa Arumeru

Kijana mwanaharamu wewe!!!!! Kupiga kampeni kisayani ndiyo kutukana?

Kitu kimoja ninachokusifu ni jinsi unavyoweza kuflow,flow yako safi kabisa ila ni sumu ya mamba.
 
Back
Top Bottom