Arumeru - Watu watano wauwawa kinyama!

Maiti za watu wa 4 wote wa kiume zimeokotwa sehemu tofauti wilayani Arumeru, inasadikika hao watu wamenyongwa na watu wasiojulikana.

Source StarTv, habari ya saa 2.
 
hao jamaa inasekana walikuwa majambazi maeneo ya sombetini na ngusero hivyo huenda wameuawa kulipiza kisasi
 
Wewe huwezi kuona madhara yake kwa sababu ubongo wako haujazi hata kifuniko cha bia. Na ungekuwa unayajua hata kwa uchache usingezi-upload. Kweli technologia kwenye mikono ya mjinga ni sawa na sumu. Umekimbilia kuziweka ukifikiria utasifiwa na kuambiwa umetenda jambo la maana. Kwenye websites za wenye akili kama cnn na bbc ulishaona ujinga unaoutetea wewe? Unafikiria wao hawana kamera za kupiga picha au hawana ujuzi wa kuziweka?
Hivi hizo CNN unazozisema ni zipi au tukuwekee na Video zake kabisa uone.

colonel-gaddafi-pic-afp-philippe-desmazes-706376664.jpg
 
Hivi hizo CNN unazozisema ni zipi au tukuwekee na Video zake kabisa uone.

colonel-gaddafi-pic-afp-philippe-desmazes-706376664.jpg

Mkuu nadhani huwa wanaweka na onyo kwa wasomaji kuwa picha/video fulani ina graphic contents hivyo uchaguzi unakuwa wa msomaji. Kuweka open kama ilivyokuwa ilivyoweka hapa haikubaliki na moja kati ya maadili ya uandishi. Tusiingilie mambo kichwa kichwa.
 
Tunaomba uongozi wa jamii forum upige vita kwa nguvu zote huu ujinga wa watu wachache kupiga picha za marehemu na kuzi-upload kwenye hii forum. Huku ni kukiuka haki za binadamu na lazima wote tunalaani vikali wapumbavu wachache wenye ujinga huu. Hizi tabia za namna hii madhara yake yanakwenda mbali na ni ya muda mrefu.


Kwa kweli naomba MOD apigevita hii tabia ya kuandikia kalam nyekundu, mi sija wahi ona hii kitu mahali popote. But picha za maiti ni muhimu zitangazwe kwa uhakiki. Kwani wewe hukuona picha za Osama, yonas savimbi, uda&qusai?!. Usiogope maiti kwani hata wewe kesho utakuwa maiti. Ciao.
 
Wewe huwezi kuona madhara yake kwa sababu ubongo wako haujazi hata kifuniko cha bia. Na ungekuwa unayajua hata kwa uchache usingezi-upload. Kweli technologia kwenye mikono ya mjinga ni sawa na sumu. Umekimbilia kuziweka ukifikiria utasifiwa na kuambiwa umetenda jambo la maana. Kwenye websites za wenye akili kama cnn na bbc ulishaona ujinga unaoutetea wewe? Unafikiria wao hawana kamera za kupiga picha au hawana ujuzi wa kuziweka?

wewe ndo limbikeni wa techno, kwani wewe una umri gani hata hujawahi kuona picha za maiti kwenye media kama bbc , cnn na ljaazira?, juzi picha ya qadaf imeoneshwa toka wakati anasokomezwa vijiti na visu matakano mpaka wakati ameandaliwa kwa mazishi, hivi hata picha ya maiti ya osama na ndugu zake hukuziona?, ya savimbi je?, hata picha za watoto wa sadam husein-qusai na udah hukuziona?, tafuta hata humu jf bado zipo na ukome kuzisemea media na hata JF.
 
Siyo vizuri kuzisemea int media kama cnn na bbc, nijuavyo wao huwa wa kwanza kuonesha picha kwa uhakiki . Hapo ndo tunapata kudhibitisha kuwa osama, qadafi, sadam, qusai, udah na yonas savimbi wamefariki. Tuache ushabiki. Kuonesha picha za mrehemu kama hawa vijana wa arumeru kunasadia kuharakisha utambuzi. Hakuna tatizo.
Mkuu nadhani huwa wanaweka na onyo kwa wasomaji kuwa picha/video fulani ina graphic contents hivyo uchaguzi unakuwa wa msomaji. Kuweka open kama ilivyokuwa ilivyoweka hapa haikubaliki na moja kati ya maadili ya uandishi. Tusiingilie mambo kichwa kichwa.
 
Mkuu nadhani huwa wanaweka na onyo kwa wasomaji kuwa picha/video fulani ina graphic contents hivyo uchaguzi unakuwa wa msomaji. Kuweka open kama ilivyokuwa ilivyoweka hapa haikubaliki na moja kati ya maadili ya uandishi. Tusiingilie mambo kichwa kichwa.

Acheni kujua sana nyie.........

huyu mlimtendea haki?? si mliweka wenyewe hapa!

jambazi-geita2.jpg


jambazi-geita1.jpg
 
Si vizuri wala busara kuingiza tetesi kwenye suala la mauaji!!! Generally speaking, over 50% ya tetsi zinakuwa uongo!
Mimi nilifikilia ni 100% huwa ni uongo kumbe ni 50% nitaendela kuzi heshimu tetesi....
 
Back
Top Bottom