Wakiwaondoa hao CCM watamtuma nani tena? chama kile kimechafuka hakuna msafi! hao waliotumwa huko ndio hawana kashfa zinazoweza kuoneka kwa haraka!
Mkuu usiwe na haraka mtoto hukua taratibu, matawi yatapatikana tu! CCM walijijenga wakati ya chama kimoja, hawakuwa na mshindani, hilo lisikupe tabu.
Huyo amekuwa akitajwa kuwa ni mnafiki! hivyo haaminiki.