DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Kutokana na kauli zao kuingilia ktk kampeni na kauli zao tata,taarifa za awali zinasema 'drakatumba' hao wanaweza wakaondolewa kwa kile kinachohisiwa kuwa wana nia mbaya na mgombea Sioi sumari wa ccm.Mtu wa karibu na Bw lowassa amenijulisha kuwa mkwe ameshashtukia agenda ya hujuma dhidi ya mgombea wake na alichokifanya sasa ni kutuma wapelelezi na kutafuta jinsi ya kukishauri chama kuwaondoa wapiga tumba hao.Rejea kauli ya lusinde 'MPENI SIOI KURA AWEZE KUPATA FEDHA ZA KUHUDUMIA FAMILIA YA MAREHEMU BABA YAKE'mwisho wa kunukulu.