Daudi Mchambuzi
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 62,204
- 128,012
Mungu yupi (yesu) au Allah?
Sina haja ya kukujibu coz CUF mmejitoa kwenye mpambano wa Arumeru mashariki na kuwapisha wanaume wapambane. Hakika hii michezo ya kiume mmeishindwa kabisa.
Mbwa koko akifyata mkia ni ishara ya kusarenda, huwa simrushii mawe mbwa aliyesalimu amri.