EasyFit
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 1,269
- 1,082
Baadhi ya Wanachama wa CCM katika Kata ya USA River ambao wagombea waliokuwa wanawaunga mkono walishindwa na Sumari katika kura za maoni leo wanatarajia kujiunga na Chadema.
Akizungumzia suala hilo, Anaeli Mungure alisema hawajaridhiwa na uamuzi ya Kamati Kuu ya CCM, kumpitisha Siyoi kwani wanaamini hakupata kihalali nafasi hiyo.
"Sisi tunapinga uteuzi kwani haikuwa halali Sumari kupita, juzi tumepeleka ushahidi wetu Takukuru kwani vitendo vya rushwa vilitawala", alisema Mungure.
Alisema leo baadhi yao, wakiwamo pia baadhi ya viongozi wa UVCCM katika jimbo hilo, wanatarajia kujiunga na Chadema.
Source: Mwananchi
Akizungumzia suala hilo, Anaeli Mungure alisema hawajaridhiwa na uamuzi ya Kamati Kuu ya CCM, kumpitisha Siyoi kwani wanaamini hakupata kihalali nafasi hiyo.
"Sisi tunapinga uteuzi kwani haikuwa halali Sumari kupita, juzi tumepeleka ushahidi wetu Takukuru kwani vitendo vya rushwa vilitawala", alisema Mungure.
Alisema leo baadhi yao, wakiwamo pia baadhi ya viongozi wa UVCCM katika jimbo hilo, wanatarajia kujiunga na Chadema.
Source: Mwananchi