We ndg yangu acha tu zingepandishwa za CHADEMA pasingetosha wapandishe hd kwenye migomba jimbo liko CHADEMA Tena nawashauri wasijusumbue ku2mia bilion 3 kama Igunga, Arumeru watu niwasomi hawadanganyiki NAWASILISHA
Acha kujipa matumaini ina maana Kinondoni au Ilala hakuna wasomi
Una uhakika na uyasemayo? Ulikuwepo RC aliposhinikiza? Wewe utakuwa ni mmoja wa wale wanaokufa na kufikia kuzikwa midomo ikiwa wazi. Uzushi haupendezi na wala Mola hapendi. Chinga sana!