VUTA-NKUVUTE
JF-Expert Member
- Nov 25, 2010
- 6,135
- 17,802
Hili ni juma la mwisho la kampeni za ubunge katika jimbo la Arumeru Mashariki.Baada ya majuma kadhaa ya majungu,makombora na uzushi wa kila aina,sasa umefika wakati wa sera.Vyama vyote vishiriki vijikite kwenye sera.Kila mmoja awaeleze wana-Meru namna atakavyozipunguza/kuziondoa shida zao za miaka 50 ya Uhuru,lini na kwanini.Hakuna nafasi ya kushambuliana binafsi.Tuepushe laana ya wana-Meru kuchagua mtu asiyewahi kutangaza sera zake na za chama chake.Vyama na wagombea na msikie...