rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
TOT wameondoka maskini
Mkuu bado upo arumeru?tupe tathmini yako binafsi unaonaje nani ataibuka mshindi?
TOT wameondoka maskini
Wakuu salaam,
Leo CCM walikuwa katika viwanja vya Nkoanrua Primary, kwanza wameambulia takribani robo tu ya watu waliokuwepo siku chache zilizopita ktk mkutano wa CDM ambapo Dr. Slaa aliunguruma hapo! Pamoja na uchache huo nimeshangaa kuona watu wote uwanjani hapo wakinyoosha vidole viwili (alama ya chadema) baada ya kuona Helikopta ya chadema ikipita kuelekea maeneo ya jirani ktk kampeni!
Watu hao (ingawa ni wachache) inaonekana wamepatikana pia kwa shida kwani walikua wakisombwa na malori, Coaster na Hiace kadhaa ambazo zilikodishwa! Sijui aliyezilipa ni nani hasa! Ila jana pia nimeshangaa kuona Ole Sendeka na Lowasa maeneo ya Arumeru wameongozana japo kila mtu alikuwa kwenye gari lake!
Viwanja vimetawaliwa na matusi na kejeli yaliyotolewa na Mwigulu kuelekezwa kwa wananchi kwa kosa la kuzomea msafara wa CCM, maeneo mengi ambapo inaaminika ni kambi za CDM, CCM imeambulia kuzomewa huku wengine wakipiga ukunga wakisema wezi haoooooo! kila walipopita!
Nawasilisha!
TOT wameondoka maskini
Too low! Kwa hiyo wewe na wenzio mumeamua kuwadharirisha wapiga kura wa Arumeru kwa mitusi yenu eti kwa kuwa sera zenu zisizotekelezeka mlizipeleka 2010?Jibu kama ni sifuri or we amount to something ni kesho. Umbumbu unakusumbua, sera tulishawaeleza 2010. Na walishachagua ilani ya CCM kuwa ndiyo itatekelezwa hatuji na ilani mpya. Wewe umechukua linalokuudhi kwa hali ilivyo jaza kurasa zote ila April mosi sioi bungen
Jibu kama ni sifuri or we amount to something ni kesho. Umbumbu unakusumbua, sera tulishawaeleza 2010. Na walishachagua ilani ya CCM kuwa ndiyo itatekelezwa hatuji na ilani mpya. Wewe umechukua linalokuudhi kwa hali ilivyo jaza kurasa zote ila April mosi sioi bungen
Unauhakika gani kuwa Sioi atashinda? Maana kila siku mnaongea kwa kujihakiki? Maana Mmezoea kuiba kura.Jibu kama ni sifuri or we amount to something ni kesho. Umbumbu unakusumbua, sera tulishawaeleza 2010. Na walishachagua ilani ya CCM kuwa ndiyo itatekelezwa hatuji na ilani mpya. Wewe umechukua linalokuudhi kwa hali ilivyo jaza kurasa zote ila Apri mosi sioi bungen
Jibu kama ni sifuri or we amount to something ni kesho. Umbumbu unakusumbua, sera tulishawaeleza 2010. Na walishachagua ilani ya CCM kuwa ndiyo itatekelezwa hatuji na ilani mpya. Wewe umechukua linalokuudhi kwa hali ilivyo jaza kurasa zote ila April mosi sioi bungen
Jibu kama ni sifuri or we amount to something ni kesho. Umbumbu unakusumbua, sera tulishawaeleza 2010. Na walishachagua ilani ya CCM kuwa ndiyo itatekelezwa hatuji na ilani mpya. Wewe umechukua linalokuudhi kwa hali ilivyo jaza kurasa zote ila April mosi sioi bungen
Utaona tar mosi kama walielewa au la. Reading from their faces wameelewa sana ndio maana inakuuma. CCM INASHINDA