KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
- Thread starter
- #61
Katika hali isiyo ya kawaida na wala haikutegemea kusikia kauli kama hii kutolewa na kada na meneja wa kampeni kwa mgombea wa ccm kwenye uchaguzi wa jimbo la arumeru mashariki mwigulu kuwa sababu inayowafanya ccm kampeni zao zitawaliwe na matusi na siyo sera zenye kujibu matatizo ya wanaarumeru ni kuwa kama wakitoa sera ambazo zitakuwa na uchambuzi wa kiuchumi basi mkutano utakaofuata watakosa watu ndiyo maana wanapiga porojo zilizojaa matusi,dhiaka na kejeli.
Mytake.
Kama ccm inajengwa na vijana mithili ya mwigulu basi kwishenie
Mytake.
Kama ccm inajengwa na vijana mithili ya mwigulu basi kwishenie