Mkulima wa Kuku
JF-Expert Member
- Jan 13, 2011
- 1,270
- 533
Mbona unazungumzia sana ushindi wakati hakuna cha maana mgombea wenu anazungumza ukimlinganisha na vyama vingine ukiacha wewe, wassira, ben mkapa, maji marefu na lusinde kumsemea...unataka utuaminishe kuwa wana arumeru wanawanawachagua ninyi au mbunge wao? Au unataka utuaminidhe kuwa wanachagua hata matakataka? Hauoni hiyo ni dharau ya hali yajuu kwa wapiga kura wa huko? Asante kwa kuendelea kutuvumilia na maswali yetu ya jazbaTatizo la watu wanaowaza kujazba na kuandika kwa jazba. Masikini hujaelewa. Sijatumia hizo models cos hazisaidii kweli hapa you are commenting outside the available options. It will not add even reduce anything for u being bitter. Blaa blaa utaziona mbivu zake au mbichi zake tar mosi. Pilipili ya shamba inakuwashia nini