Lenana
JF-Expert Member
- Oct 10, 2010
- 421
- 79
duuh kumbe spika wa bunge naye ni chipsi kuku!? Au ni buffet!!!!?????akihutubia katika kijiji cha njori kata ya poli alimfananisha mzee wasira na sokwe mtu that is wrong in my opinion ?
Pia kuhusu swala la kuoa aliwataka ccm kwanza wakamuulize spika wa bunge(64) ameolewa na nani? Kabla ya
kumuuliza joshua nasari(26) kwanini hajaoa?