Ngisibara
JF-Expert Member
- Jan 2, 2009
- 3,298
- 2,074
Jamani tumkosoe Wassira kwa sera na kauli zake lakini hili la kumfananisha na sokwe au nyani huo si ubinadamu na tunakosoa kazi ya mungu, maana tunaamini binadamu wote ni sura na mfano wa mungu!!Sisi wazungu wakituita nyani au sokwe tunakusudia hata kuwaua inakuwaje leo hii sisi kwa sisi tunaanza kufananishana na nyani,.tukosoane kwa sera lakini maumbile hapana hakuna hata mmoja wetu anaweza kutengeneza hata unywele wake mmoja tu!!
me sidhani kama halima amepiga below the belt,...nadhani amepiga between the legs..
Ni kweliii...wasira ni vivid example that we human beings originated from a spice of chimpanzee...kitu ya homohabillis kama history haijanipitia mbali...he is a so called old version of civilized human beings..very close to human nature...
jamaa yangu alituchekesha one day alisema eti wasira alikuwa kalala kwenye v8 lake anapita serengeti mbugani kwenda kwao bunda from a-town...alivyofika katikati ya mbuga akapiga usingizi kwa juu katupia kofia yake ya green n yellow ile wanatoka geti la mbugani si gari inakaguliwa..mlinzi wa mbuga akawa anamuuliza dereva wa wassira vipo wapi vibali vya kuvuna rasilimali za taifa aka sokwe mtu...sasa dereva akawa kama anataka kucheka ila jamaa yupo serious ndio akaamua kutumia ile picha ilee ya mwananchi mzee akiwa kalala akitafakari na kumwambia jamaa kuwa hii sio natural resource ni mkuu akitafakari kama hapa....
ndioooo halima hujakosea watu kibaooo tuu kitaaa tunamfananisha na sokwe-mtu.
Ni kweliii...wasira ni vivid example that we human beings originated from a spice of chimpanzee...kitu ya homohabillis kama history haijanipitia mbali...he is a so called old version of civilized human beings..very close to human nature...
jamaa yangu alituchekesha one day alisema eti wasira alikuwa kalala kwenye v8 lake anapita serengeti mbugani kwenda kwao bunda from a-town...alivyofika katikati ya mbuga akapiga usingizi kwa juu katupia kofia yake ya green n yellow ile wanatoka geti la mbugani si gari inakaguliwa..mlinzi wa mbuga akawa anamuuliza dereva wa wassira vipo wapi vibali vya kuvuna rasilimali za taifa aka sokwe mtu...sasa dereva akawa kama anataka kucheka ila jamaa yupo serious ndio akaamua kutumia ile picha ilee ya mwananchi mzee akiwa kalala akitafakari na kumwambia jamaa kuwa hii sio natural resource ni mkuu akitafakari kama hapa....
ndioooo halima hujakosea watu kibaooo tuu kitaaa tunamfananisha na sokwe-mtu.
Mkuu Osokoni,
Hii ndiyo njia pekee ya kumkosoa Wassira, pamoja na kwamba anafanania na huyo mnyama tajwa, lakini pia akili zake zimekuwa zikifanya kazi kama za huyo huyo mnyama. jambo ambalo linawawia vigumu watu ku determine uhalisia wake. Ni aibu na ajabu mtu msomi kama wassira anaropoka maneno ambayo hayana hata chembe ya uadilifu, hasa kwa mtu kama yeye. Ni aibu kwa mtu kama Wassira kutuhumu tuhuma ambazo hazipo. Wassira anatakiwa kuwa mtu wa mfano, lakini ameshindwa kujiheshimu na kuwa mtu wa mfano. mawazo yake hayana tofauti na mawazo ya mnyama aliyefananishwa naye!
siasa chafu ndo matokeo yake upo kwenye nyumba ya kioo unajiona upo safe
Nothing wrong kufanana na sokwe, kwani si kweli binadamu tunafanana sana na Sokwe!
Kwani sura ya mheshimiwa Wasira ni ulemavu?kufananisha sura na sokwe si sawa ni sawa nakudharau kazi ya muumba ni kama vile kumtania alibino kafanana na nguruwe wassira lbd hakupenda kuwa vile pia albino hakupenda kua vile, Akumbuke hujafa hujaumbika halima
Nothing wrong kufanana na sokwe, kwani si kweli binadamu tunafanana sana na Sokwe!
Mkuu Mungi, kwani mawazo ya huyo mnyama uliyasikia wapi mpaka uyalinganishe na mawazo ya Wasira?Mkuu Osokoni,
Hii ndiyo njia pekee ya kumkosoa Wassira, pamoja na kwamba anafanania na huyo mnyama tajwa, lakini pia akili zake zimekuwa zikifanya kazi kama za huyo huyo mnyama. jambo ambalo linawawia vigumu watu ku determine uhalisia wake. Ni aibu na ajabu mtu msomi kama wassira anaropoka maneno ambayo hayana hata chembe ya uadilifu, hasa kwa mtu kama yeye. Ni aibu kwa mtu kama Wassira kutuhumu tuhuma ambazo hazipo. Wassira anatakiwa kuwa mtu wa mfano, lakini ameshindwa kujiheshimu na kuwa mtu wa mfano. mawazo yake hayana tofauti na mawazo ya mnyama aliyefananishwa naye!
Huyo si Salim Ahmed Salim alimtandika Mimba akakosa mume?
Kweli ccm wamekosa sera, wanaongozwa na spika muhuni muhuni kumbe wamejisahau
me sidhani kama halima amepiga below the belt,...nadhani amepiga between the legs..
Kwa kampeni za Arumeru Mashariki kwa sasa. ni ngumu utangaze sera wakati mwenzio anachofanya ni kukuchafua.
Acha wajibizane kwanza ila watakaoonekana wajinga ni wale wazee waropokaji. Nadhani wote tunajua wanapatikana chama gani.
kwa mbaali unaweza kuona ka comparison between the two! kama mtoto wa bamkubwa na bamdogo hivi.
tofauti ni kwamba moja kavalishwa suti